Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,918
vitaje majinaMkuu hizo habari za maji tunakunywa sana ila vipodozi muhimuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vitaje majinaMkuu hizo habari za maji tunakunywa sana ila vipodozi muhimuuu
Kila mtu na ngozi yake chiefvitaje majina
hatari mavipodozi kibaoKila mtu na ngozi yake chief
nmevipanga ninavyovijua kulingana na matumizi
Mf scrub,face wash,cleanser,toner,day cream,night/repair cream na sunscreen
hapo bado body cream ya ngozi na mafuta ya nazi for a little glow smtimes kwa juu baada ya sunscreen
Nachojua kuwa na matokeo mazuri lazma kwenye ngozi umix suala la kunywa maji/vinywaji/diet/lishe nzuri na vipodozi vizuri pia na mazoezi na mapumziko
Mambo ni mengi kwa kweli
Hii set ya eclollagen ndio ikoje?? Mbona mapesa mengi sana??Walio na umri wa miaka 35 na kuendelea na anautayar wa kugharamikia ngoz yake kwa 240,000 anitafte nimpe set ya ecollagen, ni uhakika.. Ila usiwe na chunusi.. Kma unachunusi inabid kushughulikia hizo kwanza
Ujanjaujanja Tu!!Sijaona mafuta ya kupunguza kuzeeka kwa ngozi
Kaa Vema!! OopsHii set ya eclollagen ndio ikoje?? Mbona mapesa mengi sana??
Akijibu Hapa Utapigwaje?ungekuwa unajibu hapa kwa faida ya wote
Nivea wana product zenye spf..nenda kwenye maduka yenye reputation kubwa ya vipodozi utapata..Lotion ipi nzur inayosaidia ngozi kutokuuguzwa na mwanga wa jua
.hii hapaLotion ipi nzur inayosaidia ngozi kutokuuguzwa na mwanga wa jua
Asante
Sawa mkuuNivea wana product zenye spf..nenda kwenye maduka yenye reputation kubwa ya vipodozi utapata..
Mie nilikuwa kama wewe nilikuwa namadoa mengiiii ata kuvaaa nguo zamabega waz nikawa cwez ila nikatumia tentmoso ile sabuni ata duka la madawa wanauza nikawa napaka povu lake baada ya dk 5 naenda kuoga pia nikawa naogea iyoiyo sabuni alf baada yakuoga nikawa natumia bio oil miez mi3 tu cna ata doa1 cc iv navaaa nguo yoyoteJamani chunusi zinanisumbua usoni na mabegani na kifuani.zikipona zinabakiza vimadoa doa vyeusi.nitumie nini kuondoa?
natumia miracle medical soap na lotion yake..ni salama?ngozi yangu ni ya mafuta