KWEZISHO
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,519
- 6,511
Mhh, hali ni ngumu sana. Yaani anapiga bajeti mpaka kwenye njiti za kiberitiMkuu uko vizuri..unahesabu kabisa hadi njiti?? Hahah
Mhh, hali ni ngumu sana. Yaani anapiga bajeti mpaka kwenye njiti za kiberitiMkuu uko vizuri..unahesabu kabisa hadi njiti?? Hahah
Du! Mkuu hadi unafikia kuhesabu njiti lazima ni sababau kati ya haya; either unavuta sigara, au a umeisoma namba.Mimi ni mtumiaji wa hivi viberiti pasi kuangaria kampuni gani ina Tengeneza. Kwenye cover la nje kumeandikwa average sticks contents 40. Lakini kila nikinunua haifiki iyo idadi huishia 30 kwa 32. Maswali ya kujiuliza kwa nini kwenye cover waandike kwa lugha ya kigeni na sio kiswahili! Je hiyo sio mbinu ya kuwa ibia raia ambao hawajui kusoma na kuelewa hiyo lugha ya kigeni? Mimi naona huu ni wizi kama wizi mwingine tu
Hatari sanaMhh, hali ni ngumu sana. Yaani anapiga bajeti mpaka kwenye njiti za kiberiti
Vipande vya sabuni ndo usiseme.Du mapanga mpaka kwenye viberiti
wale tunao nunua jumlajumla kashazima halijafunguliwa wala nini
je njiti zinapunguziwaga wapi?
Ulipaswa kumpa hongera na sio Pole!Dah, ww ni mfuatiliaji zaidi ya Magu aisee..!! Kama unaweza ukahesabu mpk njiti za kiberiti, basi naweza nikaamini pasi na shaka kwamba huwa unahesabu mpk finyango za nyama kwenye sufuria jikoni...!!!
Pole sn kwa kazi nzito mkuu...!!!
Mara nyingi wanaofanya hivyo ni wenye maduka wasio waaminifu,wanapunguza njiti 5 na kuendelea ili wapate faida zaidi
Mkuu tunashukuru Sana umerudi watu walikutafuta Sana hapa, hadi thread ya kukutafuta walikuanzishia.Mkuu uko vizuri..unahesabu kabisa hadi njiti?? Hahah
Sasa wakipunguza hizo njiti huwa wanaziweka wapi ili waweze kuuza na kutengeneza hiyo faida unayosema?
Una ushahidi Mkuu?.Mara nyingi wanaofanya hivyo ni wenye maduka wasio waaminifu,wanapunguza njiti 5 na kuendelea ili wapate faida zaidi
Poa mkuu..nimerudi majukumu yalinizonga kidogoMkuu tunashukuru Sana umerudi watu walikutafuta Sana hapa, hadi thread ya kukutafuta walikuanzishia.
Una ushahidi Mkuu?.
Ni kweli wenye maduka ndio wanaopunguza au zinakuwa hazijatimia kuanzia kiwandani?.
Hahahahahaha hii ni ishara kwamba hali si nzuri ....Dr Pombe tulegezee kamba baba twafa hukuMkuu uko vizuri..unahesabu kabisa hadi njiti?? Hahah
Kabisa mkuu yaani hali ni teteHahahahahaha hii ni ishara kwamba hali si nzuri ....Dr Pombe tulegezee kamba baba twafa huku