Kupoteza Hamu ya Ngono kwa Mume Wangu: Je, Mimi Nipo Peke Yangu?

Nimekaa hapa nikaona wacha nipige story na washirika wa jamii forum, hasa muda huu ambao wengi tupo maofisini na katika biashahara, ila mimi nipo napunga upepo katika mbunga moja nzuri hapa Tanzania.

Twende kwenye Hoja

Mimi ni mama wa watoto 3 na mke wa mtu, nipo ndani ya ndoa zaidi ya miaka 14, na mimi ni mwajiriwa katika NGO na nina cheo kikubwa na mwonekano wangu hauendani na miaka niliyonayo, ni kama kijana.

Kisa nachotaka kupiga story na nyie itapendeza nipate maoni ya wanawake na wanaume muwe watazamaji, hivi ni kweli wanawake wenzangu kuna wakati hamna hamu na waume zenu nikimanisha katika sita kwa sita kuna wakati unamwona mume wako kama kama kaka ako ata haushutuki.

Ndio hali ninayopitia mimi, toka kuanzia miaka 6 kama sikosei nilianza kumwona mume wangu kama kaka angu, ni kawa sina hamu nae, na asipo nianza wala ata sitakaa nimuanze, nikawa sina mzuka nae nitafanya nae tendo ila ni ile hali ya fanya maliza ondoka, na ni baba bora na anayetimiza majukumu yake kama mume.

Mpaka saa nyingine natamani kuchepuka kama msemo wa mjini ulivyo ila bado sipo tayari kumsaliti mume wangu hakuna baya alilonifanyia, ilani hali tu iyo nayopitia.

Swali ni Je wanawake wenzangu uwa mnafanyaje mnaopitia hali kama ya kwangu.​
Uko peke yako. Tatizo unaonjwa nje.
 
Nimekaa hapa nikaona wacha nipige story na washirika wa jamii forum, hasa muda huu ambao wengi tupo maofisini na katika biashahara, ila mimi nipo napunga upepo katika mbunga moja nzuri hapa Tanzania.

Twende kwenye Hoja

Mimi ni mama wa watoto 3 na mke wa mtu, nipo ndani ya ndoa zaidi ya miaka 14, na mimi ni mwajiriwa katika NGO na nina cheo kikubwa na mwonekano wangu hauendani na miaka niliyonayo, ni kama kijana.

Kisa nachotaka kupiga story na nyie itapendeza nipate maoni ya wanawake na wanaume muwe watazamaji, hivi ni kweli wanawake wenzangu kuna wakati hamna hamu na waume zenu nikimanisha katika sita kwa sita kuna wakati unamwona mume wako kama kama kaka ako ata haushutuki.

Ndio hali ninayopitia mimi, toka kuanzia miaka 6 kama sikosei nilianza kumwona mume wangu kama kaka angu, ni kawa sina hamu nae, na asipo nianza wala ata sitakaa nimuanze, nikawa sina mzuka nae nitafanya nae tendo ila ni ile hali ya fanya maliza ondoka, na ni baba bora na anayetimiza majukumu yake kama mume.

Mpaka saa nyingine natamani kuchepuka kama msemo wa mjini ulivyo ila bado sipo tayari kumsaliti mume wangu hakuna baya alilonifanyia, ilani hali tu iyo nayopitia.

Swali ni Je wanawake wenzangu uwa mnafanyaje mnaopitia hali kama ya kwangu.​
Ushahamisha hisia kwa wanaume wengine wewe,huo ndo mwisho wako
 
  • Kama tatizo limekupata ukiwa kwenye range ya miaka 40 - 49, ujue unahitaji msaada wa kitaalamu zaidi.
  • Kama miaka yakonichini ya hiyo range basi huenda umevurugwa na kasi ya maisha.
  • Kama una miaka zaidi ya 50 hiyo hali ni ya mpito na naamini wanawake wengi wafikapo huo umri hukumbana na hiyo changamoto.
Walau hili linakuwa jibu la kueleweka. Sio kusema eti yeye peke yake anapitia mapito ya namna hiyo kwenye ndoa.
 
Nasisi wanaume tunakumbana na hiyo changamoto ndio maana unaona hata mawaziri wadogo wanachemka na wanafunzi wa vyuo vikuu mbali mbali.
Kikubwa mwenza wako asijue especially Kama unamuogopa, maana akijua huyo mchepuko atajua hajui.



Kumbe kuna wanaume huwa wanaogopa wake zao?

Sijui wanakuwa wamewaroga?!

Au wanawaheshimu?!

Lakini heshima Ndiyo ukimbie hadi kuhatarisha maisha kama yule naibu?!
 
Very true, ni stage tu katika ndoa. Just imagine 14yrs unalala na same person kitanda kimoja, mkwaruzane, mfurahiane, lakini yupo tu..sio rahisi hisia kubaki pale pale miaka yote.

Ni kutafuta namna tu ya kutengeneza bond upya ili mrudi kwenye ile stage mliyokuwa mwanzo.

Otherwise huenda ni mabadiliko ya "tabia mwili", ndoa ya miaka 14 huenda dada yupo stages za menopause, so mwili unabadilika.
Shukrani mkuuu umeongeaa uhalisiaa...Ila comment za watuu humu ni too judgemental
 
Relax babe, it happen sometimes. Na pia angalia family planning Kama unatumia maana huwa inafanya mwanamke anakosa hamu ya sex. Unaweza pia jaribu cinnamon +Honey in hot water to boost your libido.
 
Upendo ukiisha ndani ya ndoa unalala kitanda kimoja na adui. Maisha yetu ya ki-africa inaweza kuvumilia hali km hii yenye MAUMIVU makali ya kihisia kwa sababu za kijinga tu, mathalani km unavyosema ni baba Bora, aibu ya kuachika na kufikiria watoto.

Duniani hapa, tupo kwa ajili ya Mambo mawili tu. Jambo la kwanza ni KUPENDA na la pili na KUPENDWA. Bill gate alipoona hampendi tena mke wake hapohapo akamuacha! Sababu ya kumuacha alisema hajamkosea chochote lkn tu hampendi tena!! Ogopa sana MAUMIVU ya kihisia! Kila linapokuijia unapunguza masaa mawili mpaka 7 ya kuishi hapa duniani. Uamuzi ni wako!
 
Mimi kama mwanaume, japo sitakiwi humu nasema hivi.. Amini na kuambia muda sio mrefu ndoa yako utaivunja mwenyewe kwa mikono yako kutokana na upumbavu wako..

Na hakika utajutia sana kitendo cha kuivunja ndoa yako mwenyewe.

Sasa chagua kuivunja ndoa yako uchekwe na wanawake wenzako kwa upumbavu wako au utulie kwa mumeo
 
WEWE ndani ya moyo wako ni Malaya tu unaetafuta uhalali wa kufanya umalaya wako...go ahead na hyo program Yako ya uchepukaji then usisahau kuja kutupa mrejesho..

subiri wachepukaj wenzako mostly single Maza waje kukuhalalishia uchafu unaotaka Kuanza..kiufup unataka kusikia go ahead..😂😂😂
nyinyi kila mtu munamrukia na umalaya kama vile wenyewe ni malaika na wala hamuna mawazo mengine.

Hebu wacheni huo unafiki wa kuwahukumu wenzenu kwani hiyo ni hali ya kawaida na inawatokea wanaume na wanawake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom