Mu congomani
JF-Expert Member
- Apr 3, 2019
- 608
- 2,804
MSAADA TAFAZALI
Jambo wandugu zangu wa Tz natumaini nyinyi wote mna afya tele.
Mimi kijana wenu nakuja mbele zenu kuomba msaada kwenu kwasababu nasumbuliwa sijuwi kama ni ugonjwa wala kitu gani.
Kitu kinachonisumbua ni kila nikitaka kufanya tendo la ndoa hapohapo HAMU INAPOTEA ila kama sina mpango wa kufanya tendo hilo niko nakuwa na hamu ila nikikuwa na mpango huo hamu iko napoteya kabisa hiyo hali imeshanitokea takribani mara 5 halafu ukizingatia mimi ni kijana wa miaka 21.
Naomba msaada wowote tafadhali
View attachment 2600950
Jambo wandugu zangu wa Tz natumaini nyinyi wote mna afya tele.
Mimi kijana wenu nakuja mbele zenu kuomba msaada kwenu kwasababu nasumbuliwa sijuwi kama ni ugonjwa wala kitu gani.
Kitu kinachonisumbua ni kila nikitaka kufanya tendo la ndoa hapohapo HAMU INAPOTEA ila kama sina mpango wa kufanya tendo hilo niko nakuwa na hamu ila nikikuwa na mpango huo hamu iko napoteya kabisa hiyo hali imeshanitokea takribani mara 5 halafu ukizingatia mimi ni kijana wa miaka 21.
Naomba msaada wowote tafadhali
View attachment 2600950