Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 9,278
- 29,035
🎶nani anaweza kulicheza sagarumba🎶mimi ni mwajiriwa katika NGO na nina cheo kikubwa na mwonekano wangu hauendani na miaka niliyonayo, ni kama kijana.
🎶nani anaweza kulicheza sagarumba🎶mimi ni mwajiriwa katika NGO na nina cheo kikubwa na mwonekano wangu hauendani na miaka niliyonayo, ni kama kijana.
Nitakuja kutest mitamboSasa afe na hamu atest mitambo kwingine huko eboo
Very true, ni stage tu katika ndoa. Just imagine 14yrs unalala na same person kitanda kimoja, mkwaruzane, mfurahiane, lakini yupo tu..sio rahisi hisia kubaki pale pale miaka yote.Kuna wanaume pia hufikia stage hii.. Lakini ukivumilia kidogo hiyo hali hupita na hisia zikirudi hurudi kwa kasi ya 5G
Wamekusikia Maam, wanakuja wahusika kukujibuila mimi nipo napunga upepo katika mbunga moja nzuri hapa Tanzania.
Twende kwenye Hoja
Mimi ni mama wa watoto 3 na mke wa mtu, nipo ndani ya ndoa zaidi ya miaka 14, na mimi ni mwajiriwa katika NGO na nina cheo kikubwa na mwonekano wangu hauendani na miaka niliyonayo, ni kama kijana.
Hapo unakut tayari kuna jamaa anachombeza sasa anataka tumsaidie ku justfy ili akaliwe kimasiharaKituo kinachofuata ni kuchepuka...
Ni suala la muda tu na litaanza kwa 'kuliwa kimasikhara'
Hormonal imbalance!Nimekaa hapa nikaona wacha nipige story na washirika wa jamii forum, hasa muda huu ambao wengi tupo maofisini na katika biashahara, ila mimi nipo napunga upepo katika mbunga moja nzuri hapa Tanzania.
Twende kwenye Hoja
Mimi ni mama wa watoto 3 na mke wa mtu, nipo ndani ya ndoa zaidi ya miaka 14, na mimi ni mwajiriwa katika NGO na nina cheo kikubwa na mwonekano wangu hauendani na miaka niliyonayo, ni kama kijana.
Kisa nachotaka kupiga story na nyie itapendeza nipate maoni ya wanawake na wanaume muwe watazamaji, hivi ni kweli wanawake wenzangu kuna wakati hamna hamu na waume zenu nikimanisha katika sita kwa sita kuna wakati unamwona mume wako kama kama kaka ako ata haushutuki.
Ndio hali ninayopitia mimi, toka kuanzia miaka 6 kama sikosei nilianza kumwona mume wangu kama kaka angu, ni kawa sina hamu nae, na asipo nianza wala ata sitakaa nimuanze, nikawa sina mzuka nae nitafanya nae tendo ila ni ile hali ya fanya maliza ondoka, na ni baba bora na anayetimiza majukumu yake kama mume.
Mpaka saa nyingine natamani kuchepuka kama msemo wa mjini ulivyo ila bado sipo tayari kumsaliti mume wangu hakuna baya alilonifanyia, ilani hali tu iyo nayopitia.
Swali ni Je wanawake wenzangu uwa mnafanyaje mnaopitia hali kama ya kwangu.
Kabisa aisee, miezi sita ni mingi watu tupo ndoani miaka zaidi ya 14 lakini htujawahi pitia hiyo stage yakeHiyo stage uliyofikia,
Upo peke yako.
Haya mambo yanatokea jamani, 14yrs mtu huyo huyo kila siku kuna nyakati utachoka na kukinai tu.Kabisa aisee, miezi sita ni mingi watu tupo ndoani miaka zaidi ya 14 lakini htujawahi pitia hiyo stage yake
👀Wewe utakuwa Bonge, Jeusi, Maziwa Makubwa kama watermelon na tumbo limesogea Sana ha ha ha wanawake wa Aina hii ndio wenye hayo mambo haswa
Ila sio kwa muda mrefu, ni muda mchache tu halafu mnarudi kuendelea na maisha ya kawaida unless kama yeye na mumewe hawana ukaribu au bond yaaki kila mtu ana mishe zake wakikutana nyumbani wanakula, wanaulizana habari za watoto kisha kila mtu analala kugeukia upande wakeHaya mambo yanatokea jamani, 14yrs mtu huyo huyo kila siku kuna nyakati utachoka na kukinai tu.
nI kweli,ataanza kwa kuliwa kimasihara na baadae ataanza kuchepuka na ataona ni jambo la kawaida kuchepukaKituo kinachofuata ni kuchepuka...
Ni suala la muda tu na litaanza kwa 'kuliwa kimasikhara'
njoo dude yako ing'atweNitakuja kutest mitambo
Huyu mwenzetu kajikatia tamaaKabisa aisee, miezi sita ni mingi watu tupo ndoani miaka zaidi ya 14 lakini htujawahi pitia hiyo stage yake
Nimekaa hapa nikaona wacha nipige story na washirika wa jamii forum, hasa muda huu ambao wengi tupo maofisini na katika biashahara, ila mimi nipo napunga upepo katika mbunga moja nzuri hapa Tanzania.
Twende kwenye Hoja
Mimi ni mama wa watoto 3 na mke wa mtu, nipo ndani ya ndoa zaidi ya miaka 14, na mimi ni mwajiriwa katika NGO na nina cheo kikubwa na mwonekano wangu hauendani na miaka niliyonayo, ni kama kijana.
Kisa nachotaka kupiga story na nyie itapendeza nipate maoni ya wanawake na wanaume muwe watazamaji, hivi ni kweli wanawake wenzangu kuna wakati hamna hamu na waume zenu nikimanisha katika sita kwa sita kuna wakati unamwona mume wako kama kama kaka ako ata haushutuki.
Ndio hali ninayopitia mimi, toka kuanzia miaka 6 kama sikosei nilianza kumwona mume wangu kama kaka angu, ni kawa sina hamu nae, na asipo nianza wala ata sitakaa nimuanze, nikawa sina mzuka nae nitafanya nae tendo ila ni ile hali ya fanya maliza ondoka, na ni baba bora na anayetimiza majukumu yake kama mume.
Mpaka saa nyingine natamani kuchepuka kama msemo wa mjini ulivyo ila bado sipo tayari kumsaliti mume wangu hakuna baya alilonifanyia, ilani hali tu iyo nayopitia.
Swali ni Je wanawake wenzangu uwa mnafanyaje mnaopitia hali kama ya kwangu.
Mme wako anaishi na wewe kimazoeaNimekaa hapa nikaona wacha nipige story na washirika wa jamii forum, hasa muda huu ambao wengi tupo maofisini na katika biashahara, ila mimi nipo napunga upepo katika mbunga moja nzuri hapa Tanzania.
Twende kwenye Hoja
Mimi ni mama wa watoto 3 na mke wa mtu, nipo ndani ya ndoa zaidi ya miaka 14, na mimi ni mwajiriwa katika NGO na nina cheo kikubwa na mwonekano wangu hauendani na miaka niliyonayo, ni kama kijana.
Kisa nachotaka kupiga story na nyie itapendeza nipate maoni ya wanawake na wanaume muwe watazamaji, hivi ni kweli wanawake wenzangu kuna wakati hamna hamu na waume zenu nikimanisha katika sita kwa sita kuna wakati unamwona mume wako kama kama kaka ako ata haushutuki.
Ndio hali ninayopitia mimi, toka kuanzia miaka 6 kama sikosei nilianza kumwona mume wangu kama kaka angu, ni kawa sina hamu nae, na asipo nianza wala ata sitakaa nimuanze, nikawa sina mzuka nae nitafanya nae tendo ila ni ile hali ya fanya maliza ondoka, na ni baba bora na anayetimiza majukumu yake kama mume.
Mpaka saa nyingine natamani kuchepuka kama msemo wa mjini ulivyo ila bado sipo tayari kumsaliti mume wangu hakuna baya alilonifanyia, ilani hali tu iyo nayopitia.
Swali ni Je wanawake wenzangu uwa mnafanyaje mnaopitia hali kama ya kwangu.
Mim ndo maana naamin mwanamke usiwe mstaarabu sana kwake mda mwingine umfanyie undava ulale uko uko uje asubuhi ndo maana wanawake wanapenda bad boys
- Kama tatizo limekupata ukiwa kwenye range ya miaka 40 - 49, ujue unahitaji msaada wa kitaalamu zaidi.
- Kama miaka yakonichini ya hiyo range basi huenda umevurugwa na kasi ya maisha.
- Kama una miaka zaidi ya 50 hiyo hali ni ya mpito na naamini wanawake wengi wafikapo huo umri hukumbana na hiyo changamoto.
Nasisi wanaume tunakumbana na hiyo changamoto ndio maana unaona hata mawaziri wadogo wanachemka na wanafunzi wa vyuo vikuu mbali mbali.Nimekaa hapa nikaona wacha nipige story na washirika wa jamii forum, hasa muda huu ambao wengi tupo maofisini na katika biashahara, ila mimi nipo napunga upepo katika mbunga moja nzuri hapa Tanzania.
Twende kwenye Hoja
Mimi ni mama wa watoto 3 na mke wa mtu, nipo ndani ya ndoa zaidi ya miaka 14, na mimi ni mwajiriwa katika NGO na nina cheo kikubwa na mwonekano wangu hauendani na miaka niliyonayo, ni kama kijana.
Kisa nachotaka kupiga story na nyie itapendeza nipate maoni ya wanawake na wanaume muwe watazamaji, hivi ni kweli wanawake wenzangu kuna wakati hamna hamu na waume zenu nikimanisha katika sita kwa sita kuna wakati unamwona mume wako kama kama kaka ako ata haushutuki.
Ndio hali ninayopitia mimi, toka kuanzia miaka 6 kama sikosei nilianza kumwona mume wangu kama kaka angu, ni kawa sina hamu nae, na asipo nianza wala ata sitakaa nimuanze, nikawa sina mzuka nae nitafanya nae tendo ila ni ile hali ya fanya maliza ondoka, na ni baba bora na anayetimiza majukumu yake kama mume.
Mpaka saa nyingine natamani kuchepuka kama msemo wa mjini ulivyo ila bado sipo tayari kumsaliti mume wangu hakuna baya alilonifanyia, ilani hali tu iyo nayopitia.
Swali ni Je wanawake wenzangu uwa mnafanyaje mnaopitia hali kama ya kwangu.
Kwakuwa umewauliza wanawake wenzako mimi sisemi kituNimekaa hapa nikaona wacha nipige story na washirika wa jamii forum, hasa muda huu ambao wengi tupo maofisini na katika biashahara, ila mimi nipo napunga upepo katika mbunga moja nzuri hapa Tanzania.
Twende kwenye Hoja
Mimi ni mama wa watoto 3 na mke wa mtu, nipo ndani ya ndoa zaidi ya miaka 14, na mimi ni mwajiriwa katika NGO na nina cheo kikubwa na mwonekano wangu hauendani na miaka niliyonayo, ni kama kijana.
Kisa nachotaka kupiga story na nyie itapendeza nipate maoni ya wanawake na wanaume muwe watazamaji, hivi ni kweli wanawake wenzangu kuna wakati hamna hamu na waume zenu nikimanisha katika sita kwa sita kuna wakati unamwona mume wako kama kama kaka ako ata haushutuki.
Ndio hali ninayopitia mimi, toka kuanzia miaka 6 kama sikosei nilianza kumwona mume wangu kama kaka angu, ni kawa sina hamu nae, na asipo nianza wala ata sitakaa nimuanze, nikawa sina mzuka nae nitafanya nae tendo ila ni ile hali ya fanya maliza ondoka, na ni baba bora na anayetimiza majukumu yake kama mume.
Mpaka saa nyingine natamani kuchepuka kama msemo wa mjini ulivyo ila bado sipo tayari kumsaliti mume wangu hakuna baya alilonifanyia, ilani hali tu iyo nayopitia.
Swali ni Je wanawake wenzangu uwa mnafanyaje mnaopitia hali kama ya kwangu.