Kupotea kwa Roma na dhana ya kuachiwa kwa Nay wa mitego

Mzee Dogo

JF-Expert Member
Nov 13, 2010
400
140
Nakumbuka wakati Nay wa mitego amekamatwa alitoa ujumbe kupitia account yake ya instagram akieleza kuwa watu waliomkamata walikuwa wamejitambulisha kama maafisa wa polisi, so jamii ilijua fika kuwa yuko mikononi mwa polisi, nafikiria kwa sauti asingefanya hivyo huenda angepotea pia kama saanane na wengineo. Nimeiona njia hiyo pia akiitumia tundu lisu mara kadhaa, Leo hii kama Roma angekuwa amepata fursa ya kupost chochote kingesaidia jamii kujua inaanzia wapi katika kumpata.

Sent from my HUAWEI CUN-L21 using JamiiForums mobile app
 
Kuachiwa kwa mitego siamini hata kidogo kama ni nia njema, Kwa Nay nahisi yasemwa haya...... watakataa kwa watu flani hawahusiki, labda ni wahuni ambao wana sababu binafsi za nje, labda ugoni au wanadaiana, ila serikali haikua na tatizo kwakua ilimwacha huru ...... Napata wasiwasi.
 
Kuachiwa kwa mitego siamini hata kidogo kama ni nia njema, Kwa Nay nahisi yasemwa haya...... watakataa kwa watu flani hawahusiki, labda ni wahuni ambao wana sababu binafsi za nje, labda ugoni au wanadaiana, ila serikali haikua na tatizo kwakua ilimwacha huru ...... Napata wasiwasi.
Mkuu ugoni unaweza kukamatiwa ofisini? Siamini

Sent from my HUAWEI CUN-L21 using JamiiForums mobile app
 
Kuachiwa kwa mitego siamini hata kidogo kama ni nia njema, Kwa Nay nahisi yasemwa haya...... watakataa kwa watu flani hawahusiki, labda ni wahuni ambao wana sababu binafsi za nje, labda ugoni au wanadaiana, ila serikali haikua na tatizo kwakua ilimwacha huru ...... Napata wasiwasi.
kwani huyo house boy waliye ondoka naye, naye atakuwa sehemu ya deni analo daiwa Roma?
 
kwani huyo house boy waliye ondoka naye, naye atakuwa sehemu ya deni analo daiwa Roma?
Mkuu pamoja umenifurahisha, eti naye ni sehemu ya deni. Haya mambo sikia tu jirani siku yakikufika yanaumiza sana.
 
kwani huyo house boy waliye ondoka naye, naye atakuwa sehemu ya deni analo daiwa Roma?
Si ndo hapo sasa hawa jamaa wanapojikanyaga.. Eti hatuwezi juwa labda waliotekwa walikua na ugomvi wao binafsi, labda ugoni au madeni... Hamna logic...
 
Si ndo hapo sasa hawa jamaa wanapojikanyaga.. Eti hatuwezi juwa labda waliotekwa walikua na ugomvi wao binafsi, labda ugoni au madeni... Hamna logic...
The country of endless dramaz.. Najivunia kuwa mwana wa nchi katika Tanganyika hii. Nakuona umemrudisha Roma
 
Back
Top Bottom