Kupotea bila kujijua

Baba yako ana umri gani?

Mara ya mwisho kufanyiwa check up iliyojumuisha tests za cognitive ability ni lini na zilitoa matokeo gani (kama alifanya).
 
Baba yako ana umri gani?

Mara ya mwisho kufanyiwa check up iliyojumuisha tests za cognitive ability ni lini na zilitoa matokeo gani (kama alifanya).
[emoji23] [emoji23] mkuu unajibu hoja kwa hoja..kudos. [HASHTAG]#GreatThinker[/HASHTAG]
 
Baba yako ana umri gani?

Mara ya mwisho kufanyiwa check up iliyojumuisha tests za cognitive ability ni lini na zilitoa matokeo gani (kama alifanya).
Ukijua sana muda mwingine ni matatizo, hivi unahisi alipagawa? Sikuwahi kumsikia kumtokea jambo hilo na lilitokea siku moja na halijamtokea tena. Kwenye hii dunia kuna mengine hutoyajua mpaka yakukute, naishia hapa.
 
sasa ndo ungekua hauko na hao wenzako .
pole sana mkuu
 
JAMANI mbona dunia ina mambo
 
pole sana mkuu
 
Hizi ni zile hadithi za utotoni eti wamasai wakiaba ng'ombe wanageuza viatu vyao ili kuwa hadaa wanao fuatili muelekea wa nyayo zao. Sijui makanyagio ya hao ng'ombe walio ibiwa wali ya geuza je?
Labda walikuwa wanawabeba mgongoni.
 
Katika nchi ambayo access na afya ya akili ni ndogo, hata mtu akipotea kwa kuwa ana dementia au ugonjwa mwingine wa akili tutasema kakanyaga majani fulani.
Hivi mkuu Tangu umeanza maisha yako umegundua nini hadi sasa hivi?
 
Kulalek
 
ila mysterious yapo
 
Unadhani wewe ndie mwenye kufikiri na kuwaza zaidi ya wanajamii wengi kutoka maeneo tofauti ya nchi hii?!

Ama wewe ndo mnadadavuaji kwa mifano ya vitabu na nadharia za kusadikika kutoka kwa maandiko ya watu kama wewe?!

Wale waliokulia katikati ya milio ya bundi na ndege kwijo ndio wanaeza kukupa mifano ya matukio ya aina hiyo mana njia nyingi zitumikazo huko vijijini ni nyembamba na si ajabu kukuta majani yamejiotea.

Kama umewahi kujikunguta umande ahsubuhi ama wakati wa mvua kuisha huwezi kosa majani aina ya (Kisokoro)yakiwa yametanda njiani kwa kusambaa chini.

Kuna mengi yapo huko vijijini kuliko ngano chache zilizofika mjini

Nachelea kusema utaona uzushi ikiwa tu hata mbuzi hujawahi kwenda mfunga kwenye majani,namaanisha kama hujawahi kuishi maisha yale ya ndani ya zile jamii ambazo Radio tu ipo kwa mwenyekiti,sio hivi vijiji vilivyojaa taa za umeme.

zitto junior ,hearly, Da'Vinci
 
Duuh!natamani initokee hii
 
hata mama namuuliza hapa anasema kipindi cha masika. na mvua iliwanyeshea masaa ma5 ,walitembea mpaka mto fulani watu Masasi wanaujua unaitwa Myesi
 
Duuh
mlikiona kitu mbona
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…