Kupokea Ndege kufanywa ni tukio la kitaifa ni ushamba, tunachoreshana..

Unapiga marufuku mikutano ya kisiasa kwamba unawakomoa wapinzani mwisho wa siku na wewe unajikuta unahitaji mikutano kusema unachokifanya. Njia mbadala ndo hizo za kuwakusanya watu kwa matukio ya maCEO wa makampuni kuwa ya kitaifa.
 
Kabla ya kufanya comparison kumbuka kuwa kilichoifanya ATCL isikue ilikuwa ni siasa za wanasiasa wa kibongo. Political will haikuwepo, sasa hivi ipo, sasa hivi kina Johari na Matinyi wapo huru kufanya kazi kitaalam.

Hapo ndipo JPM anapojitofautisha na waliomtangulia pale Magogoni. Kutambua maana ya utaalam wa mtu na umuhimu wake kwa taifa. Hizi ndege 100 tutakuja kuwanazo, cha muhimu tusiupoteze huu uhuru wa wataalam kufanya kazi wanayoijua vyema.
Nothing personal,nimesoma baadhi ya messages zako kwenye suala la hizi ndege,niseme tu una tatizo la uelewa, hizo ndege hazijanunuliwa na ATCL, hilo shirika ni bankrupt, halitengenezi faida! lina madeni makubwa na haliwezi kujiendesha bila ruzuku ya serikali.Kinachofanyika ni kuzoa fedha ndogo tulizonazo pale hazina, kununua US dollars halafu kwenda kununua ndege kwa cash. Ni kitu ambacho hata wewe unaweza fanya ukiwa rais. Marais wengine walikuwa na uwezo wa kufanya hilo lakini pamoja na mapungufu yao walijua ugumu wa biashara ya usafirishaji wa anga na nini ni vipaumbele vya taifa; afya,kilimo,elimu,ajira,biashara ya nje,maslahi ya wafanyakazi na mazingira mazuri ya uwekezaji. Punguza mihemko na penda kujisomea.
 
Mimi sio mpinga maendeleo. Ninasapoti kwa asilimia zote maamuzi chanya yenye lengo la kukuza uchumi wa taifa hili changa. Ukiwemo uamuzi huu wa kufufua Shirika la Ndege kwa kununua ndege 7. Kongole Serikali!

Hata hivyo, kuna mambo yanatutia aibu. Mojawapo ni hili la mapokezi ya hizi ndege kufanywa kuwa ni tukio special sana la kitaifa. Kwa lugha ya mtaani tunasema ni 'kuchoreshana'.

Kwa dunia ya sasa, hata kama tulikuwa hatuna, sio fahari kuitangazia dunia kwamba tunasubiri ndege airport, tena tukiongozwa na Rais!? Sijaona Kenya wakifanya, Ethiopia, South Africa, Nigeria, Rwanda na kokote kunakotuzunguka. Mambo gani haya?

Halafu mbaya zaidi, siku zote hizi za mapokezi ni lazima RAIS ahudhurie kama mgeni rasmi. Ni kuonesha kwamba it is our top priority for now as a nation. Really? Waziri na watu wachache wangetosha sana kutuwakilisha. Na hakuna ulazima wa kufanya live coverage kwenye redio na televisheni.

Huko baadae zitakuja treni za kisasa, tutafanya hivi pia?
Mimi hata nikinunua simu huwa nafanya sherehe kwenye familia yangu ijekuwa ndege ya MABILLION anahaki sana tu mbona wangeni hawakuweza katika hili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nothing personal,nimesoma baadhi ya messages zako kwenye suala la hizi ndege,niseme tu una tatizo la uelewa, hizo ndege hazijanunuliwa na ATCL, hilo shirika ni bankrupt, halitengenezi faida! lina madeni makubwa na haliwezi kujiendesha bila ruzuku ya serikali.Kinachofanyika ni kuzoa fedha ndogo tulizonazo pale hazina, kununua US dollars halafu kwenda kununua ndege kwa cash. Ni kitu ambacho hata wewe unaweza fanya ukiwa rais. Marais wengine walikuwa na uwezo wa kufanya hilo lakini pamoja na mapungufu yao walijua ugumu wa biashara ya usafirishaji wa anga na nini ni vipaumbele vya taifa; afya,kilimo,elimu,ajira,biashara ya nje,maslahi ya wafanyakazi na mazingira mazuri ya uwekezaji. Punguza mihemko na penda kujisomea.
Nafahamu kwamba zimenunuliwa na serikali ambayo ndio mdhamini , ndio maana jana katibu mkuu kiongozi ametia saini na katibu mkuu wa mawasiliano.

Jana rais kasema ikiwa hawa waliokabidhiwa dhamana watazingua, basi hata precision wanaweza kupewa hizi ndege.

Kwa taarifa tu ni kwamba hilo deni kadri muda unavyokwenda linazidi kupungua, tuwaamini na tuwape muda hawa jamaa.

Huo ugumu wa biashara za anga ndizo changamoto zenyewe zinazotakiwa. Wenye mamlaka watapambana na hupo ugumu kadri utakavyojitokeza.
 
Kabla ya kufanya comparison kumbuka kuwa kilichoifanya ATCL isikue ilikuwa ni siasa za wanasiasa wa kibongo. Political will haikuwepo, sasa hivi ipo, sasa hivi kina Johari na Matinyi wapo huru kufanya kazi kitaalam.

Hapo ndipo JPM anapojitofautisha na waliomtangulia pale Magogoni. Kutambua maana ya utaalam wa mtu na umuhimu wake kwa taifa. Hizi ndege 100 tutakuja kuwanazo, cha muhimu tusiupoteze huu uhuru wa wataalam kufanya kazi wanayoijua vyema.
Mkuu hapa umepiga siasa uchwara kama kawaida,hoja yako hapo juu ilikuwa "miaka mitatu ndege saba" Hizo ndege saba sioni kama zimetokana na hao wataalam kuachwa wafanye kazi zao wala Magufuli kuwapa uhuru wa kufanya kazi zao-ni kodi zetu.By the way wazo la kufufua ATCL lilikuwa la Magufuli au CCM? au unataka kutuambia ilani ya ccm aliitengeneza Magufuli baada ya kuteuliwa kugombea ?Sasa kama wazo lilikuwa la ccm,unatoa wapi nguvu ya kumcompare Magufuli na waliomtangulia?au kwenye ilani walizosimamia kulikuwa na issue ya kununua ndege?
 
Mimi hata nikinunua simu huwa nafanya sherehe kwenye familia yangu ijekuwa ndege ya MABILLION anahaki sana tu mbona wangeni hawakuweza katika hili

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe masikini wa mali na akili,usijicompare ujinga wako ikaonekana ndo tabia ya nchi-Kinachofanywa na ndugu yenu si sahihi ni ushamba tu.Kuna nchi zina order pale Boeing every year ila hatuoni serikali zao zikihamia uwanja wa ndege kuzipokea-Siasa nyepesi zinawafanya mjitoe ufahamu
 
Mimi sio mpinga maendeleo. Ninasapoti kwa asilimia zote maamuzi chanya yenye lengo la kukuza uchumi wa taifa hili changa. Ukiwemo uamuzi huu wa kufufua Shirika la Ndege kwa kununua ndege 7. Kongole Serikali!

Hata hivyo, kuna mambo yanatutia aibu. Mojawapo ni hili la mapokezi ya hizi ndege kufanywa kuwa ni tukio special sana la kitaifa. Kwa lugha ya mtaani tunasema ni 'kuchoreshana'.

Kwa dunia ya sasa, hata kama tulikuwa hatuna, sio fahari kuitangazia dunia kwamba tunasubiri ndege airport, tena tukiongozwa na Rais!? Sijaona Kenya wakifanya, Ethiopia, South Africa, Nigeria, Rwanda na kokote kunakotuzunguka. Mambo gani haya?

Halafu mbaya zaidi, siku zote hizi za mapokezi ni lazima RAIS ahudhurie kama mgeni rasmi. Ni kuonesha kwamba it is our top priority for now as a nation. Really? Waziri na watu wachache wangetosha sana kutuwakilisha. Na hakuna ulazima wa kufanya live coverage kwenye redio na televisheni.

Huko baadae zitakuja treni za kisasa, tutafanya hivi pia?
Waziri wala hana kazi hapo......ilitakiwa engineers wa ndege wakague km ziko vzr wapeleke report kwa waziri sio kupotezea watu muda na kuwafanya watz wote wajinga km viongozi wao.....kibaya zaidi qamekuwa wakitangaza na kualika watz kuhudhuria huu upumbavu badala ya kufanya kazi ktk kipindi hiki ambacho ccm wameharibu uchumi wa nchi....
"Nchi wamekabidhiwa washamba na malimbukeni" in zittos voice
 
Mkuu hapa umepiga siasa uchwara kama kawaida,hoja yako hapo juu ilikuwa "miaka mitatu ndege saba" Hizo ndege saba sioni kama zimetokana na hao wataalam kuachwa wafanye kazi zao wala Magufuli kuwapa uhuru wa kufanya kazi zao-ni kodi zetu.By the way wazo la kufufua ATCL lilikuwa la Magufuli au CCM? au unataka kutuambia ilani ya ccm aliitengeneza Magufuli baada ya kuteuliwa kugombea ?Sasa kama wazo lilikuwa la ccm,unatoa wapi nguvu ya kumcompare Magufuli na waliomtangulia?au kwenye ilani walizosimamia kulikuwa na issue ya kununua ndege?
Bungeni JPM alipohutubia aliongelea vipaumbele vyake, akasema tuna shirika la ndege lenye ndege moja tu lakini wafanyakazi wapo mia mbili.

Ni suala la ilani ya CCM, ni kipaumbele. Kumbuka pia siku ndege ya kwanza inaingia, yalisomwa matatizo yaliyosababisha ATCL ikayumba kabla ya awamu ya tano.

miaka mitatu ndege saba, ni muunganiko wa uimara wa JPM pamoja na uwezo kikazi wa wataalam wake. Ni kweli ni kodi zetu lakini si ndio hizi hizi kodi zetu ambazo miaka ya nyuma watu walikuwa wanazitumia kula bata?.

Si ni hizi hizi kodi zetu ambazo miaka ile chai na vitafunio vya kwenye halmashauri zilikuwa zikitumia mabilioni ya pesa?.

Magufuli hajaja na uchawi wowote ule,alichokifanya kupeleka hela mahali penye umuhimu. Unakumbuka wabunge walitaka wafanye sherehe ya usiku moja yenye kutumia shilingi milioni 300?, Zikatumika milioni 15 tu nyingine zikaenda kununua mashuka ya muhimbili.
 
Wewe masikini wa mali na akili,usijicompare ujinga wako ikaonekana ndo tabia ya nchi-Kinachofanywa na ndugu yenu si sahihi ni ushamba tu.Kuna nchi zina order pale Boeing every year ila hatuoni serikali zao zikihamia uwanja wa ndege kuzipokea-Siasa nyepesi zinawafanya mjitoe ufahamu
Ni kweli mkuu. Department of Defence (DoD) ya US imewahi na hata sasa ina miradi mikubwa ( worth millions of US dollars) ya ndege na makampuni makubwa ya Lockheed Martin na Boeing, na hii ni miradi ya tafiti na utengenezaji wa ndege za kivita,global aerospace issues na advanced technologies. Lakini huoni wenzetu wanazubaa zubaa airport muda wa kazi eti wamekwenda kupokea ndege.
 
Siku zikija hizo ndiyo tutakuwa na mapumziko ya wiki tumejazana bandarini
Mimi sio mpinga maendeleo. Ninasapoti kwa asilimia zote maamuzi chanya yenye lengo la kukuza uchumi wa taifa hili changa. Ukiwemo uamuzi huu wa kufufua Shirika la Ndege kwa kununua ndege 7. Kongole Serikali!

Hata hivyo, kuna mambo yanatutia aibu. Mojawapo ni hili la mapokezi ya hizi ndege kufanywa kuwa ni tukio special sana la kitaifa. Kwa lugha ya mtaani tunasema ni 'kuchoreshana'.

Kwa dunia ya sasa, hata kama tulikuwa hatuna, sio fahari kuitangazia dunia kwamba tunasubiri ndege airport, tena tukiongozwa na Rais!? Sijaona Kenya wakifanya, Ethiopia, South Africa, Nigeria, Rwanda na kokote kunakotuzunguka. Mambo gani haya?

Halafu mbaya zaidi, siku zote hizi za mapokezi ni lazima RAIS ahudhurie kama mgeni rasmi. Ni kuonesha kwamba it is our top priority for now as a nation. Really? Waziri na watu wachache wangetosha sana kutuwakilisha. Na hakuna ulazima wa kufanya live coverage kwenye redio na televisheni.

Huko baadae zitakuja treni za kisasa, tutafanya hivi pia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa wewe imekukera kitu gani mleta uzi kueleza mawazo yake hapa jukwaani?au hujuu nini maana ya jukwaa huru?
Mtapata tabu sana, kwan kuna ubaya gani rais akienda kuipokea.
Mbona Mwenyekiti wa taifa na Cabinet yake walienda kuzika mbwa wa Nassari lakini Ukerewe hawakwenda?
Kupanga ni kuchagua kama unaona ni vibaya rais kupokea lala tu nyumban au fanya mambo yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sio mpinga maendeleo. Ninasapoti kwa asilimia zote maamuzi chanya yenye lengo la kukuza uchumi wa taifa hili changa. Ukiwemo uamuzi huu wa kufufua Shirika la Ndege kwa kununua ndege 7. Kongole Serikali!

Hata hivyo, kuna mambo yanatutia aibu. Mojawapo ni hili la mapokezi ya hizi ndege kufanywa kuwa ni tukio special sana la kitaifa. Kwa lugha ya mtaani tunasema ni 'kuchoreshana'.

Kwa dunia ya sasa, hata kama tulikuwa hatuna, sio fahari kuitangazia dunia kwamba tunasubiri ndege airport, tena tukiongozwa na Rais!? Sijaona Kenya wakifanya, Ethiopia, South Africa, Nigeria, Rwanda na kokote kunakotuzunguka. Mambo gani haya?

Halafu mbaya zaidi, siku zote hizi za mapokezi ni lazima RAIS ahudhurie kama mgeni rasmi. Ni kuonesha kwamba it is our top priority for now as a nation. Really? Waziri na watu wachache wangetosha sana kutuwakilisha. Na hakuna ulazima wa kufanya live coverage kwenye redio na televisheni.

Huko baadae zitakuja treni za kisasa, tutafanya hivi pia?
Kama hutaki hama nchi, na bado, mbili zilizobaki atazindua mwenyewe keshasema, na hizo zitakazopakwa rangi, atazindua pia.
 
Back
Top Bottom