Tunashukuru ndege yetu imerudi, ila psychological disorder waliyonayo baadhi ya watu kutaka mambo mabaya yaikumbe tanzania ni janga la taifa

AUGUSTINO CHIWINGA

JF-Expert Member
Apr 23, 2017
220
689
Hivi karibuni kumeibuka tabia kwa baadhi ya Watanzania wenzetu wasiojitambua kufurahia,kukoleza,kupalilia pale mambo mabaya yanapoikumba nchi yetu.


Mathalani tukio la hivi karibuni la kushikiliwa kwa ndege yetu nchini Afrika Kusini kulikofanywa baada ya mkulima wa kizungu Ndg.Styen kushawishiwa na maadui wa Taifa, kufungua kesi kwa nia ya kumkwamisha Rais wa Tanzania katika shabaha yake ya kulififua shirika la kizalendo la Air Tanzania lililokua limejifia.


Baada ya tukio hilo tumeshuhudia miongni mwetu wakifurahia na kusifu hatua hiyo y kushikiliwa kwa ndege yetu.Hakika huo ni kukosa uzalendo lakini pia ugonjwa wa akili(Psychological Disorder)


Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kamwe kuthubutu achilia mbali kufurahia nchi yake kupata tatizo hata siku moja.Pamoja na tofauti zetu za kisiasa ,kidini,kikabila linapokuja suala la kitaifa ni vyema wote tuungane n kutetea na kulinda hadhi na heshima ya nchi yetu.


Tabia ya kutaka nchi yetu ikumbwe na mabaya ni tabia mbaya ya hovyo.Sisi ni wamoja tuipende nchi yetu.

Tanzania ikiharibikiwa wote tunakua tumeharibikiwa hatuna nchi nyingine ya kwenza zaidi ya Tanzania.

Tuvipende na kuvithamini vya kwetu.


Augustino Chiwinga
 
Hivi karibuni kumeibuka tabia kwa baadhi ya Watanzania wenzetu wasiojitambua kufurahia,kukoleza,kupalilia pale mambo mabaya yanapoikumba nchi yetu.


Mathalani tukio la hivi karibuni la kushikiliwa kwa ndege yetu nchini Afrika Kusini kulikofanywa baada ya mkulima wa kizungu Ndg.Styen kushawishiwa na maadui wa Taifa, kufungua kesi kwa nia ya kumkwamisha Rais wa Tanzania katika shabaha yake ya kulififua shirika la kizalendo la Air Tanzania lililokua limejifia.


Baada ya tukio hilo tumeshuhudia miongni mwetu wakifurahia na kusifu hatua hiyo y kushikiliwa kwa ndege yetu.Hakika huo ni kukosa uzalendo lakini pia ugonjwa wa akili(Psychological Disorder)


Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kamwe kuthubutu achilia mbali kufurahia nchi yake kupata tatizo hata siku moja.Pamoja na tofauti zetu za kisiasa ,kidini,kikabila linapokuja suala la kitaifa ni vyema wote tuungane n kutetea na kulinda hadhi na heshima ya nchi yetu.


Tabia ya kutaka nchi yetu ikumbwe na mabaya ni tabia mbaya ya hovyo.Sisi ni wamoja tuipende nchi yetu.

Tanzania ikiharibikiwa wote tunakua tumeharibikiwa hatuna nchi nyingine ya kwenza zaidi ya Tanzania.

Tuvipende na kuvithamini vya kwetu.


Augustino Chiwinga
Katika hili uko sahihi kabisa na tuko pamoja Comrade! Kuna ujinga sasa hivi unaendelea wa kujenga chuki dhidi ya Serikali na Rais wetu Dr.Magufuli.Hatuwezi kukubali ujinga huu! Lazima tuwe na Uzalendo kwa Nchi yetu!
Unaona hata zile hoja zilizokuwa zikienezwa na akina Kigogo 2014,Zitto, Maria Sarungi ,Fatma Karume na wengine katika kupinga zuio la Ndege yetu SA zilikuwa fabricated ili kuwadhalilisha Mawakili wetu na Serikali! Aibu sana kwao!
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Katika hili uko sahihi kabisa na tuko pamoja Comrade! Kuna ujinga sasa hivi unaendelea wa kujenga chuki dhidi ya Serikali na Rais wetu Dr.Magufuli.Hatuwezi kukubali ujinga huu! Lazima tuwe na Uzalendo kwa Nchi yetu!
Unaona hata zile hoja zilizokuwa zikienezwa na akina Kigogo 2014,Zitto, Maria Sarungi ,Fatma Karume na wengine katika kupinga zuio la Ndege yetu SA zilikuwa fabricated ili kuwadhalilisha Mawakili wetu na Serikali! Aibu sana kwao!
Tukijitambua tutaacha!!!! Maombi yafanyike ili tujitambuwe kwamba hii ndo nchi yetu na kujua kwamba ukiomba kuishi kwenye nchi nyingine ni mkimbizi tu hata kama una pesa.
 
Hivi karibuni kumeibuka tabia kwa baadhi ya Watanzania wenzetu wasiojitambua kufurahia,kukoleza,kupalilia pale mambo mabaya yanapoikumba nchi yetu.


Mathalani tukio la hivi karibuni la kushikiliwa kwa ndege yetu nchini Afrika Kusini kulikofanywa baada ya mkulima wa kizungu Ndg.Styen kushawishiwa na maadui wa Taifa, kufungua kesi kwa nia ya kumkwamisha Rais wa Tanzania katika shabaha yake ya kulififua shirika la kizalendo la Air Tanzania lililokua limejifia.


Baada ya tukio hilo tumeshuhudia miongni mwetu wakifurahia na kusifu hatua hiyo y kushikiliwa kwa ndege yetu.Hakika huo ni kukosa uzalendo lakini pia ugonjwa wa akili(Psychological Disorder)


Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kamwe kuthubutu achilia mbali kufurahia nchi yake kupata tatizo hata siku moja.Pamoja na tofauti zetu za kisiasa ,kidini,kikabila linapokuja suala la kitaifa ni vyema wote tuungane n kutetea na kulinda hadhi na heshima ya nchi yetu.


Tabia ya kutaka nchi yetu ikumbwe na mabaya ni tabia mbaya ya hovyo.Sisi ni wamoja tuipende nchi yetu.

Tanzania ikiharibikiwa wote tunakua tumeharibikiwa hatuna nchi nyingine ya kwenza zaidi ya Tanzania.

Tuvipende na kuvithamini vya kwetu.


Augustino Chiwinga
Serikali inadaiwa au haidaiwi?
 
Mimi hata Nimuone Jangili anawinda Tembo, kwanza ndiyo naweza Kuwa Watchman wake asidakwe!
Nchi gani Mtawala hatupendi Wananchi wake!
 
Hivi karibuni kumeibuka tabia kwa baadhi ya Watanzania wenzetu wasiojitambua kufurahia,kukoleza,kupalilia pale mambo mabaya yanapoikumba nchi yetu.


Mathalani tukio la hivi karibuni la kushikiliwa kwa ndege yetu nchini Afrika Kusini kulikofanywa baada ya mkulima wa kizungu Ndg.Styen kushawishiwa na maadui wa Taifa, kufungua kesi kwa nia ya kumkwamisha Rais wa Tanzania katika shabaha yake ya kulififua shirika la kizalendo la Air Tanzania lililokua limejifia.


Baada ya tukio hilo tumeshuhudia miongni mwetu wakifurahia na kusifu hatua hiyo y kushikiliwa kwa ndege yetu.Hakika huo ni kukosa uzalendo lakini pia ugonjwa wa akili(Psychological Disorder)


Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kamwe kuthubutu achilia mbali kufurahia nchi yake kupata tatizo hata siku moja.Pamoja na tofauti zetu za kisiasa ,kidini,kikabila linapokuja suala la kitaifa ni vyema wote tuungane n kutetea na kulinda hadhi na heshima ya nchi yetu.


Tabia ya kutaka nchi yetu ikumbwe na mabaya ni tabia mbaya ya hovyo.Sisi ni wamoja tuipende nchi yetu.

Tanzania ikiharibikiwa wote tunakua tumeharibikiwa hatuna nchi nyingine ya kwenza zaidi ya Tanzania.

Tuvipende na kuvithamini vya kwetu.


Augustino Chiwinga
Mimi binafsi siwezi kua na umoja na fisi yeyote anayetokea Lumumba, hata misiba yao nilishaacha kuhudhuria siku nyingi sana!
 
kamwambie baba wa ben saanane awe mzalendo akikuelewa uje kwa ndugu wa alfonce mawazo wakikuekewa juwa uzalendo kila mtanzania atauelewa tena bila kupiga mapambio. TATIZO UZALENDO WENU MNAMAANISHA KUMUABUDU MTU.na ndipo mnapokwama
 
Kuharibikiwa kwa Tanzania maana yake nini? Wewe unataka kila mtanzania awe na mawazo na fikra sawa kama robot?
Kila mtu atatoa maoni yake tofauti juu ya siasa, maendeleo, wizi, n.k. Husipangie watu kusifia tu hata kama kuna makosa yalitendeka. Deni ni deni na nchi za kiafrika hushindwa au kudharau kulipa madeni kwa sababu za corruption na viongozi wabovu. Kama tunalipa madeni na uongozi mzuri, hayo yote ya kuzuiwa ndege hayato tokea.
Hivi karibuni kumeibuka tabia kwa baadhi ya Watanzania wenzetu wasiojitambua kufurahia,kukoleza,kupalilia pale mambo mabaya yanapoikumba nchi yetu.


Mathalani tukio la hivi karibuni la kushikiliwa kwa ndege yetu nchini Afrika Kusini kulikofanywa baada ya mkulima wa kizungu Ndg.Styen kushawishiwa na maadui wa Taifa, kufungua kesi kwa nia ya kumkwamisha Rais wa Tanzania katika shabaha yake ya kulififua shirika la kizalendo la Air Tanzania lililokua limejifia.


Baada ya tukio hilo tumeshuhudia miongni mwetu wakifurahia na kusifu hatua hiyo y kushikiliwa kwa ndege yetu.Hakika huo ni kukosa uzalendo lakini pia ugonjwa wa akili(Psychological Disorder)


Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kamwe kuthubutu achilia mbali kufurahia nchi yake kupata tatizo hata siku moja.Pamoja na tofauti zetu za kisiasa ,kidini,kikabila linapokuja suala la kitaifa ni vyema wote tuungane n kutetea na kulinda hadhi na heshima ya nchi yetu.


Tabia ya kutaka nchi yetu ikumbwe na mabaya ni tabia mbaya ya hovyo.Sisi ni wamoja tuipende nchi yetu.

Tanzania ikiharibikiwa wote tunakua tumeharibikiwa hatuna nchi nyingine ya kwenza zaidi ya Tanzania.

Tuvipende na kuvithamini vya kwetu.


Augustino Chiwinga
 
Msio itakia mema Tz ni nyinyi wana lumumba, na wote mnaosapoti utawala huu mbovu kuwahi kutokea nchi hii.
Mtu anaye itakia mema tz hawezi kumsapoti kiongozi anayewapiga lisasi watz wenzake tena hadharani, anaye teka watu na kuwapoteza,anaye wakataza wenzake kufanya siasa wakati yeye chama chake kinafanya ,asiye heshimu kodi za watz kwa kuzichota hovyohovyo bila idhini ya bunge ambalo limepewa mamlaka na katiba, anaye wagawa watz kwa itikadi za kivyama.
Hivi kwanini hamjiulizi kwa nini haya mambo yanayotokea sasa hivi mbona hayakutokea awamu zilizo pita?
Mzarendo wa kweli ni yule anaye kemea uovu unao fanywa na watawala ambao utaperekea matatizo makubwa taifa letu,na sio kujipendekeza kijinga jinga.
 
Hivi karibuni kumeibuka tabia kwa baadhi ya Watanzania wenzetu wasiojitambua kufurahia,kukoleza,kupalilia pale mambo mabaya yanapoikumba nchi yetu.


Mathalani tukio la hivi karibuni la kushikiliwa kwa ndege yetu nchini Afrika Kusini kulikofanywa baada ya mkulima wa kizungu Ndg.Styen kushawishiwa na maadui wa Taifa, kufungua kesi kwa nia ya kumkwamisha Rais wa Tanzania katika shabaha yake ya kulififua shirika la kizalendo la Air Tanzania lililokua limejifia.


Baada ya tukio hilo tumeshuhudia miongni mwetu wakifurahia na kusifu hatua hiyo y kushikiliwa kwa ndege yetu.Hakika huo ni kukosa uzalendo lakini pia ugonjwa wa akili(Psychological Disorder)


Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kamwe kuthubutu achilia mbali kufurahia nchi yake kupata tatizo hata siku moja.Pamoja na tofauti zetu za kisiasa ,kidini,kikabila linapokuja suala la kitaifa ni vyema wote tuungane n kutetea na kulinda hadhi na heshima ya nchi yetu.


Tabia ya kutaka nchi yetu ikumbwe na mabaya ni tabia mbaya ya hovyo.Sisi ni wamoja tuipende nchi yetu.

Tanzania ikiharibikiwa wote tunakua tumeharibikiwa hatuna nchi nyingine ya kwenza zaidi ya Tanzania.

Tuvipende na kuvithamini vya kwetu.


Augustino Chiwinga
Huteuliki ng'o!!!!!!!!???
 
Katika hili uko sahihi kabisa na tuko pamoja Comrade! Kuna ujinga sasa hivi unaendelea wa kujenga chuki dhidi ya Serikali na Rais wetu Dr.Magufuli.Hatuwezi kukubali ujinga huu! Lazima tuwe na Uzalendo kwa Nchi yetu!
Unaona hata zile hoja zilizokuwa zikienezwa na akina Kigogo 2014,Zitto, Maria Sarungi ,Fatma Karume na wengine katika kupinga zuio la Ndege yetu SA zilikuwa fabricated ili kuwadhalilisha Mawakili wetu na Serikali! Aibu sana kwao!
Ni waambie kitu, Hakuna mtanzania wa kweli aliyefurahia kuka.matwa ndege yetu au anayefurahia janga lolote liwe dogo au kubwa kuikumba nchi yetu. Hayupo! Ila kuna wageni waliojipenyeza nchini wengi, na wengi wamepata elimu hapa hapa ambao hawataki utulivu utamalaki Tanzania. Wanafaidi hiyo hali wengine ni warangirangi (colored)/kama wangekuwa South Africa wengekuwa classified hivyo - hao coloured kamwe hawaoni kama mtu mweusi anaweza kuongoza nchi au kitu. Wanajitambulisha kama wao wazungu, waarabu, wahindi nk. Ndio na muda wote watakuwa upande wa kupinga serikali muda wote. Serikali inayo ongozwa na mtu mweusi.
South Afrika wako hivyo, waliotaka kumpindua Nyerere wengi walikuwa aina hiyo (Robert Bayona, Zachari Hans Pope etc). Sasa hivi utakuta wakina Maria Sarungi, Fatuma nk. Na pia ugumu wa siasa za Zanzibar hasa Pemba unatokana na group hilo. Wanajibagua sana.
Group lingine ni wale wengi ambao sio watanzania halisia yaani waliingia nchini kwa utata yaani wana (?)! Wanaweza wakawa cleared kiofisi lakini kiroho wanaona na wanajua kwamba sio watanzania. (Kabendera, Ulimwenvengu nk), group hili ni wengi.
Hawa wote wana side na elements zinazo ipinga serikali na kamwe hawabadiriki. Hapa sisemi vyama vya upinzani maana kwenye vyama hivyo kuna wenye uchungu na nchi yetu kwa lolote liwalo. Ila wapo wachumia tumbo kama Lisu ambao wanafurahia janga kwa serikali huyu anatafuta pesa tu.
 
Back
Top Bottom