Kupokea Ndege kufanywa ni tukio la kitaifa ni ushamba, tunachoreshana..

Chadema mmeshindwa kujenga hata kaofisi ka vyumba vitatu wivu tu unawasumbua mkuu wa nchi kushusha madege. Kamwambieni mkiti wenu sie tunaenda airport kupokea Mali za nchi, na mzee wa miga toka atoke nchini hatushitakiwi, ndo ujue mchawi nani.
Wasiopenda maendeleo waende kujifungia ufipa ila cha ajabu utawakuta wanakodoa kideoni kuisubiri na kumsikiliza amiri jeshi mkuu.
Na hakuna mtu anayemsikiliza sana mheshimiwa Raisi zaidi ya hawa mawakala wa mabeberu, najua wanamuelewa sana ila midomo yao tu mizito.
Huyu mzee mwambieni ni upunguwani kubeba serikali nzima kwa airbus ya kubeba watu 100 kenya na ethiopia wana dege zenye ghorofa huyu fala angekesha airport mwezi akiisubiri acheni ushamba munadharilisha nchi
 
Mimi sio mpinga maendeleo. Ninasapoti kwa asilimia zote maamuzi chanya yenye lengo la kukuza uchumi wa taifa hili changa. Ukiwemo uamuzi huu wa kufufua Shirika la Ndege kwa kununua ndege 7. Kongole Serikali!

Hata hivyo, kuna mambo yanatutia aibu. Mojawapo ni hili la mapokezi ya hizi ndege kufanywa kuwa ni tukio special sana la kitaifa. Kwa lugha ya mtaani tunasema ni 'kuchoreshana'.

Kwa dunia ya sasa, hata kama tulikuwa hatuna, sio fahari kuitangazia dunia kwamba tunasubiri ndege airport, tena tukiongozwa na Rais!? Sijaona Kenya wakifanya, Ethiopia, South Africa, Nigeria, Rwanda na kokote kunakotuzunguka. Mambo gani haya?

Halafu mbaya zaidi, siku zote hizi za mapokezi ni lazima RAIS ahudhurie kama mgeni rasmi. Ni kuonesha kwamba it is our top priority for now as a nation. Really? Waziri na watu wachache wangetosha sana kutuwakilisha. Na hakuna ulazima wa kufanya live coverage kwenye redio na televisheni.

Huko baadae zitakuja treni za kisasa, tutafanya hivi pia?
Kama hii nayo ni hoja basi jamii forum inapoteza mvuto... tuleteeni vyenye mashiko please
 
Mimi sio mpinga maendeleo. Ninasapoti kwa asilimia zote maamuzi chanya yenye lengo la kukuza uchumi wa taifa hili changa. Ukiwemo uamuzi huu wa kufufua Shirika la Ndege kwa kununua ndege 7. Kongole Serikali!

Hata hivyo, kuna mambo yanatutia aibu. Mojawapo ni hili la mapokezi ya hizi ndege kufanywa kuwa ni tukio special sana la kitaifa. Kwa lugha ya mtaani tunasema ni 'kuchoreshana'.

Kwa dunia ya sasa, hata kama tulikuwa hatuna, sio fahari kuitangazia dunia kwamba tunasubiri ndege airport, tena tukiongozwa na Rais!? Sijaona Kenya wakifanya, Ethiopia, South Africa, Nigeria, Rwanda na kokote kunakotuzunguka. Mambo gani haya?

Halafu mbaya zaidi, siku zote hizi za mapokezi ni lazima RAIS ahudhurie kama mgeni rasmi. Ni kuonesha kwamba it is our top priority for now as a nation. Really? Waziri na watu wachache wangetosha sana kutuwakilisha. Na hakuna ulazima wa kufanya live coverage kwenye redio na televisheni.

Huko baadae zitakuja treni za kisasa, tutafanya hivi pia?
ila kwa jinsi mlvyomtukana mzee wa msoga ktk awamu yake ile,achen tu huyu jamaa atambe tu
Ninyi ndo mmetusababishia yote haya,mlihubir msichokiamin
Kumbe magu akiwa wazir anawacheki,yan kimoyo kimoyo nahisi akawa anawapania sana
Sasa ndo anawapa ndege mlzokuwa mnamtukania jk!!!!
Maneno huumba!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sio mpinga maendeleo. Ninasapoti kwa asilimia zote maamuzi chanya yenye lengo la kukuza uchumi wa taifa hili changa. Ukiwemo uamuzi huu wa kufufua Shirika la Ndege kwa kununua ndege 7. Kongole Serikali!

Hata hivyo, kuna mambo yanatutia aibu. Mojawapo ni hili la mapokezi ya hizi ndege kufanywa kuwa ni tukio special sana la kitaifa. Kwa lugha ya mtaani tunasema ni 'kuchoreshana'.

Kwa dunia ya sasa, hata kama tulikuwa hatuna, sio fahari kuitangazia dunia kwamba tunasubiri ndege airport, tena tukiongozwa na Rais!? Sijaona Kenya wakifanya, Ethiopia, South Africa, Nigeria, Rwanda na kokote kunakotuzunguka. Mambo gani haya?

Halafu mbaya zaidi, siku zote hizi za mapokezi ni lazima RAIS ahudhurie kama mgeni rasmi. Ni kuonesha kwamba it is our top priority for now as a nation. Really? Waziri na watu wachache wangetosha sana kutuwakilisha. Na hakuna ulazima wa kufanya live coverage kwenye redio na televisheni.

Huko baadae zitakuja treni za kisasa, tutafanya hivi pia?

Ni kweli kabisa ni jambo la aibu sana ila binafsi nimejifunza kitu mara nyingi ukiona nguvu kubwa sana inatumika kuhamasisha watu hapo kunakuwa na tatizo linalofichwa kwa hizo hamasa siyo bure.kunakuwa na hofu fulani. Haiwezekani Kiongozi wa nchi kila siku awe anakwenda pale airport kupokea Ndege kwa sababu gani na ili iweje yaani Ndege zenyewe 8 sasa hao wenye ndege wafanyaje kama sisi wenye Ndege 8 tunakelele kama vile tumefanya jambo ambalo haliwezekani, ni kwamba tunajiona hatuwezi au nini hasa maana kama tunaweza kufanya mambo makubwa mbona tunakuwa na mbwemnwe sana kama vile tumebahatisha. Mi nadhani baada ya huu uzi haitatokea tena kujichoresha kwa hivo.
 
Mtapata tabu sana, kwan kuna ubaya gani rais akienda kuipokea.
Mbona Mwenyekiti wa taifa na Cabinet yake walienda kuzika mbwa wa Nassari lakini Ukerewe hawakwenda?
Kupanga ni kuchagua kama unaona ni vibaya rais kupokea lala tu nyumban au fanya mambo yako.
Samwel tunazungumzia nchi, wewe mbona huelewi?
Hebu acha ujinga watu tunapozungumzia aibu ya taifa.
Unajuwa kwa nini raisi ana bendera yake pekee?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema mmeshindwa kujenga hata kaofisi ka vyumba vitatu wivu tu unawasumbua mkuu wa nchi kushusha madege. Kamwambieni mkiti wenu sie tunaenda airport kupokea Mali za nchi, na mzee wa miga toka atoke nchini hatushitakiwi, ndo ujue mchawi nani.
Wasiopenda maendeleo waende kujifungia ufipa ila cha ajabu utawakuta wanakodoa kideoni kuisubiri na kumsikiliza amiri jeshi mkuu.
Na hakuna mtu anayemsikiliza sana mheshimiwa Raisi zaidi ya hawa mawakala wa mabeberu, najua wanamuelewa sana ila midomo yao tu mizito.
Hivi hata shule ya kata umehudhuria wewe? Halafu vijana mnalalama kuhusu ajira! Kwa akili hii hata kampuni ya mazishi kitengo cha uchimbaji makaburi kukupa ajira ni nadra sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani amealikwa ama ndie aliyewaalika wengine kwenye tukio hilo?

Sasa sijui kama kuselebuka kutaendelea kama kawaida na zile 'percussion' za kuvuja mtu jasho zipo! Akina Majaliwa mwaka huu vitambi vitayeyuka kwa 'phyico' za hali ya juu.

Ngoja basi nikuchochee kidogo labda tutaelewana au kama sio kuvurugana kabisa kwa hoja yako hii:
"Hii ni Tanzania mpya" unaelewa maana yake? Kampeni ndio hizo shaanza, waliolala usiwaamshe.

'Interest' ni hayo tu mkuu, tusilaumiane kwa mchanganyo.
Fanya ka research kadogo hao watu wenye mashati ya kijani wanaojaza viti wanakujaje hapo airport na TOT wanalipwa ngapi kisha rudi JF utueleze point yako.
CCM is dying kiroho imebaki kitumbo tuu maana mk. unahitaji kwenda chooni daily. Sasa kura zinatoka rohoni (moyoni) na sio mk...ni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taifa lina rais ambae endapo matendo yake unayetengenezea documentary, documentary hiyo inatosha kabisa kuwa maajabu ya dunia!!!
 
Fanya ka research kadogo hao watu wenye mashati ya kijani wanaojaza viti wanakujaje hapo airport na TOT wanalipwa ngapi kisha rudi JF utueleze point yako.
CCM is dying kiroho imebaki kitumbo tuu maana mk. unahitaji kwenda chooni daily. Sasa kura zinatoka rohoni (moyoni) na sio mk...ni

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana nikamwandikia huyo mleta hoja 'Interest' kuhusu 'kuvurugana'. Inaelekea 'Chakaza' ndio kaingia kichwa kichwa na 'kuvurugika' asijue nini maana ya niliyoyabandika hapo!

Kila mtu mwenye akili za kujitegemea anajua CCM aliondoka nayo Mwalimu Nyerere. Hii iliyopo sasa ni mapambio tu ya mtu mmoja.
Na kwa bahati mbaya sana, ni mtu huyo huyo mmoja ndiye anashikilia kila kitu kiasi hata cha kuathiri hata wasiokuwemo ndani ya hiyo CCM pambio. Kwa hali hiyo basi, sisi na akina Chakaza pamoja na kujua CCM ilishakufa hatuna njia yoyote ya kusaidia kuizika kabisa hata kivuli chake kinachotumika kama pambio kisiwepo ili kudanganyia watu kuwa ni CCM ndiyo inayofanya mambo.
 
Bungeni JPM alipohutubia aliongelea vipaumbele vyake, akasema tuna shirika la ndege lenye ndege moja tu lakini wafanyakazi wapo mia mbili.

Ni suala la ilani ya CCM, ni kipaumbele. Kumbuka pia siku ndege ya kwanza inaingia, yalisomwa matatizo yaliyosababisha ATCL ikayumba kabla ya awamu ya tano.

miaka mitatu ndege saba, ni muunganiko wa uimara wa JPM pamoja na uwezo kikazi wa wataalam wake. Ni kweli ni kodi zetu lakini si ndio hizi hizi kodi zetu ambazo miaka ya nyuma watu walikuwa wanazitumia kula bata?.

Si ni hizi hizi kodi zetu ambazo miaka ile chai na vitafunio vya kwenye halmashauri zilikuwa zikitumia mabilioni ya pesa?.

Magufuli hajaja na uchawi wowote ule,alichokifanya kupeleka hela mahali penye umuhimu. Unakumbuka wabunge walitaka wafanye sherehe ya usiku moja yenye kutumia shilingi milioni 300?, Zikatumika milioni 15 tu nyingine zikaenda kununua mashuka ya muhimbili.
Mkuu naomba unasaidie-Una elimu ya kiwango gani? Maana naona unajichanganya sana-Kwanza umeshasema ni ilani ya ccm,je ilani ya kikwete na mkapa nazo zilikuwa na ununuzi wa ndege? kama hazikuwepo unajuaje kama wasinge weza kufanya zaidi ya hii ya Msukuma wako? Unajua huyo msukuma wako alipata umaarufu kwa kusimamia ujenzi wa barabara za lami wakati wa mkapa na wakati wa kikwete?Kama watu walikuwa wanakula bata kodi zetu unadhani hiyo hela ya kujenga hizo barabara alizokuwa anasimamia msukuma wako zilikuwa zinatoka wapi?
 
Mkuu naomba unasaidie-Una elimu ya kiwango gani? Maana naona unajichanganya sana-Kwanza umeshasema ni ilani ya ccm,je ilani ya kikwete na mkapa nazo zilikuwa na ununuzi wa ndege? kama hazikuwepo unajuaje kama wasinge weza kufanya zaidi ya hii ya Msukuma wako? Unajua huyo msukuma wako alipata umaarufu kwa kusimamia ujenzi wa barabara za lami wakati wa mkapa na wakati wa kikwete?Kama watu walikuwa wanakula bata kodi zetu unadhani hiyo hela ya kujenga hizo barabara alizokuwa anasimamia msukuma wako zilikuwa zinatoka wapi?
Mkuu kwa hiyo wewe unaumia sana unapoona ndege zinanunuliwa?. Inawezekana halikuwa jambo lililoandikwa kwenye ilani enzi hizo.

Kumbuka kuwa ilani sio msahafu, hubadilika kutokana na mahitaji ya nchi ya wakati fulani. Huwezi kuwa na nchi yenye viwanda ambayo haifikiki kwa njia zote kwa maana ya angani na ardhini.

Barabara zilijengwa kwa hela ya kodi lakini watu walipiga sana kulinganisha na leo hii. Kulikuwa na madudu mengi tu. Matanuzi ya kijinga yalikuwa mengi, sasa hivi hela inapominywa inakwenda kufanya kitu kinachoonekana.
 
Mkuu kwa hiyo wewe unaumia sana unapoona ndege zinanunuliwa?. Inawezekana halikuwa jambo lililoandikwa kwenye ilani enzi hizo.

Kumbuka kuwa ilani sio msahafu, hubadilika kutokana na mahitaji ya nchi ya wakati fulani. Huwezi kuwa na nchi yenye viwanda ambayo haifikiki kwa njia zote kwa maana ya angani na ardhini.

Barabara zilijengwa kwa hela ya kodi lakini watu walipiga sana kulinganisha na leo hii. Kulikuwa na madudu mengi tu. Matanuzi ya kijinga yalikuwa mengi, sasa hivi hela inapominywa inakwenda kufanya kitu kinachoonekana.
Mkuu wewe ndo unasema mini naumia kwa ununuzi wa ndege-mimi siumii ila nakataa mnampaisha msukuma wenu while utendaji kazi wake upo sawa sawa na wengine tu au hata below.Unasema kipindi kile pesa zilipigwa sana ukilinganisha na kipindi hiki,hebu tupe mrejesho wa 1.5T, tuambie why no audit kwenye ununuzi wa ndege?Je CAG hajawahi kubaini upigaji serikalini since 2015?
 
Mkuu wewe ndo unasema mini naumia kwa ununuzi wa ndege-mimi siumii ila nakataa mnampaisha msukuma wenu while utendaji kazi wake upo sawa sawa na wengine tu au hata below.Unasema kipindi kile pesa zilipigwa sana ukilinganisha na kipindi hiki,hebu tupe mrejesho wa 1.5T, tuambie why no audit kwenye ununuzi wa ndege?Je CAG hajawahi kubaini upigaji serikalini since 2015?
Una uhakika no audit kwenye ununuzi wa ndege? Hiyo 1.5 ilishatolewa maelezo tena ndani ya bunge.

Mkuu Ngosha yupo tofauti na hao waliomtangulia, yuko njema sana. Miaka hiyo ya JK na BWM lini ulisikia mamlaka mbalimbali zinapeleka gawio serikali kuu?. Lini ulisikia manunuzi ya rada nne zinazofungwa nchi nzima?.' Kwa taarifa yako rada zote nne zikianza kazi mapato ya taifa yataongezeka kuliko sasa.

Siwadharau waliomtangulia, kilichowakwaza ni zile siasa za makundi ndani ya chama, huyu kaweza kuyavunja makundi yaliyomtesa JK. Utendaji wa Ngosha upo tofauti na waliomtangulia, anao udhaifu wake lakini anajituma sana.
 
Una uhakika no audit kwenye ununuzi wa ndege? Hiyo 1.5 ilishatolewa maelezo tena ndani ya bunge.

Mkuu Ngosha yupo tofauti na hao waliomtangulia, yuko njema sana. Miaka hiyo ya JK na BWM lini ulisikia mamlaka mbalimbali zinapeleka gawio serikali kuu?. Lini ulisikia manunuzi ya rada nne zinazofungwa nchi nzima?.' Kwa taarifa yako rada zote nne zikianza kazi mapato ya taifa yataongezeka kuliko sasa.

Siwadharau waliomtangulia, kilichowakwaza ni zile siasa za makundi ndani ya chama, huyu kaweza kuyavunja makundi yaliyomtesa JK. Utendaji wa Ngosha upo tofauti na waliomtangulia, anao udhaifu wake lakini anajituma sana.
Upigaji gani huko nyuma haukuwahi kutolewa maelezo_na hayo maelezo anapewa na kwa kusudi gani?-wote wezi tu-huyu anawazidi wengine kwa PA tu and nothing easy
 
Back
Top Bottom