MMkjj narudi tena kukupata hongera kwa hoja.
Nilikuwa napanga kususia kusoma makala zako Raia Mwema sasa nimesitisha uamuzi huo.
Ila ninaushauri wewe kama mpiganaji katika harakati ya kukuza demokrasia nchini haitatosha barua hii kuwa kwa mwenyekiti wa tume ya Uchaguzi,ungelifanya juhudi iwafikie vyama vyote vya siasa hasa yale yaliyoshiriki katika Uchaguzi wa mwaka huu iliwaweze kutambua kuwa kuna wanachama wao wamenyimwa haki.
Kwa Chadema ambayo mimi ni mumini wake ningeliwashauri kutumia nafasi hii kufungua kesi mahakamani kwa niaba ya wanachama/wapigakura wao kwenye majimbo yote ambayo wagombe wa ubunge wamepitishwa bila kupigiwa kura na wapigakura halali ambao kisheria ndio wanaotabulika wa tarehe 31/10/2010.
Nilikuwa napanga kususia kusoma makala zako Raia Mwema sasa nimesitisha uamuzi huo.
Ila ninaushauri wewe kama mpiganaji katika harakati ya kukuza demokrasia nchini haitatosha barua hii kuwa kwa mwenyekiti wa tume ya Uchaguzi,ungelifanya juhudi iwafikie vyama vyote vya siasa hasa yale yaliyoshiriki katika Uchaguzi wa mwaka huu iliwaweze kutambua kuwa kuna wanachama wao wamenyimwa haki.
Kwa Chadema ambayo mimi ni mumini wake ningeliwashauri kutumia nafasi hii kufungua kesi mahakamani kwa niaba ya wanachama/wapigakura wao kwenye majimbo yote ambayo wagombe wa ubunge wamepitishwa bila kupigiwa kura na wapigakura halali ambao kisheria ndio wanaotabulika wa tarehe 31/10/2010.