Fredwa4real Member Apr 2, 2011 40 25 Feb 7, 2018 #1 Je kisa ni WASAFI kufungua Redio na TV Yao? Au kuna la zaidi
cocochanel Platinum Member Oct 6, 2007 26,776 73,522 Feb 7, 2018 #3 Kuna habari huwa naziachia zinipite hii bado mojawapo.. hata baada ya kuona threads nyingi zimeanzishwa leo.
Kuna habari huwa naziachia zinipite hii bado mojawapo.. hata baada ya kuona threads nyingi zimeanzishwa leo.
mahatmaxlla JF-Expert Member Nov 26, 2017 876 1,388 Feb 7, 2018 #4 Kisa demu mmoja hivi wanamgombania kimya kimya hasa mabifu yao yanaingia hadi kwenye kazi
Fredwa4real Member Apr 2, 2011 40 25 Feb 7, 2018 Thread starter #5 Yeth lottah said: Wasafi redio zao ni zipi? Click to expand... Mdau ipo nyima wasafi wapo tayari kufungua redio na Tv yao hivi KARIBUNI ndio maana wamekua jeuri
Yeth lottah said: Wasafi redio zao ni zipi? Click to expand... Mdau ipo nyima wasafi wapo tayari kufungua redio na Tv yao hivi KARIBUNI ndio maana wamekua jeuri
J jT0078 JF-Expert Member Sep 26, 2016 275 246 Feb 8, 2018 #6 Fredwa4real said: Je kisa ni WASAFI kufungua Redio na TV Yao? Au kuna la zaidi Click to expand... Lakini hata ilifunguliwa EFM na ETV tuliambiwa ndio mwisho wa Clouds lakini bado tunaona watu wanaenda kuomba radhi!!!!!
Fredwa4real said: Je kisa ni WASAFI kufungua Redio na TV Yao? Au kuna la zaidi Click to expand... Lakini hata ilifunguliwa EFM na ETV tuliambiwa ndio mwisho wa Clouds lakini bado tunaona watu wanaenda kuomba radhi!!!!!