Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,469
- 17,581
Tatizo watu sijui hawajui kusomaPrivate hospital ipi unayoifahamu wewe nchini Tanzania wanakopima DNA zaidi ya kwa Mkemia Mkuu wa Nchi?
Nimesema labda aende private kama inawezekana maana sijui huko kama kuna limitations embu rudia kusoma comment zote
Sasa mi nitajuaje Kama Wana Pima au hawapimi ?