Kupima DNA kwa lengo la kujua uhalali wa mtoto kunatoa majibu sahihi?

no nooooooo i say no

io ipo hv km wanaume mpo zaid ya wawil mnagombea mtoto dna hupimwa vzr tu

shida ni km mwanamke kaficha midume mengime na ww ukapewa zigo hata uwr na hofu kiasi gan upime dna utaambiwa mtoto ni wako kabisa ata awe na black ww mweupe mama mweupe utaambia ni swala la genetics yaan ata uhoji miez 9 haijatimia utaaambia mimba ilitungwa nje

km ana mashaka na pesa za kuchezea anazo afungue kesi ataje ni upi anamuhisi mahakama ikijilizisha dna wqatapima wote na majibu yatakuwa fair
Mmhhh🤔🤔🤔. Hapa nimepata wazo. Ikibidi unaenda unatafta hata ndugu yako unaenda nae as if mnagombea mtoto then mnapimwa. Ikionekana sio wenu wote it means sio wa kwako
 
So ili kupata majibu ya kweli ni pale mnapogombea mtoto, kibyume na hapo ni wa kwako tu hata kama dalili zote zinaonyesha ni wa kichina?
Hahahaaaaa
Unajua maana ya maslahi ya mtoto?

Chief Government chemist wa Tanzania hataki kusikia mtoto anaumia kwa sababu ya migogoro yenu
 
Mmhhh. Hapa nimepata wazo. Ikibidi unaenda unatafta hata ndugu yako unaenda nae as if mnagombea mtoto then mnapimwa. Ikionekana sio wenu wote it means sio wa kwako
Shida yote ya nini Nenda hospitali private ,kapime kisiri siri au kupitia short cut kama inawezekana kama inawezekana jiandae mfuko kutoboka
 
Yes mkuu,tofauti kubwa mno ila gharama ji kubwa, but end of the day inategemea unataka ku achieve nini kutokana na matokeo ya DNA test,kama ni kujua tu status ya mtoto pls mwambie rafiki yako atumie common sense yake maana kuna cost kubwa
Bora gharama kubwa kuliko kulea mtoto unaemdoubt. Kwa sababu hutaeza kumpa upendo anaostahili of which hii itaendelea kumuumiza kisaikolojia hata atakapokua mkubwa. Mimi nasupport kutoa hyo hela na kujua ukweli aisee
 
Tanzania ukipima dna tena wanapima kwa kibali kutoka mahakamani sijajua kwa wanaofanya siri au short cut inawezekana kwa hospitali za private

Ila jua tu ukipima dna Tanzania mtoto hata kama sio wako utaambiwa ni wako ili kulinda maslahi ya mtoto

Labda vuka boda nenda kenya
"Utaambiwa mtoto ni wako hata kama sio wako"
Thats a lie. Ukienda hospital za govment maybe.. but private with enough money wanakupa black and white truth.

Now what will you do with that truth. Thats will be up to you
 
Yes mkuu,tofauti kubwa mno ila gharama ji kubwa, but end of the day inategemea unataka ku achieve nini kutokana na matokeo ya DNA test,kama ni kujua tu status ya mtoto pls mwambie rafiki yako atumie common sense yake maana kuna cost kubwa
Well said...
 
"Utaambiwa mtoto ni wako hata kama sio wako"
Thats a lie. Ukienda hospital za govment maybe.. but private with enough money wanakupa black and white truth.

Now what will you do with that truth. Thats will be up to you
Ndio maana namwambia aende private maana huko sijui kama limitations zipo au hazipo


Ila government jua mtoto atakuwa ni wako
 
Hajaniambia kama aliwahi kufanya ultrasound, lakini anasema alihisi mke ni mjamzito na muda wa kujifungua umekuwa pungufu ya miezi 9, swali ni je, ofisi ya mkemia wanatoa majibu kwa kuzingatia "ustawi wa mtoto/watoto" tu?

Na je hii inamaanisha mtoto utapewa tu hata kama sio wako ili astawi? Au ina maana gani???
Unavyosema pungufu unamanisha nini? Kwa sababu mama anaweza kujifungua week la 36,37,38,39,40,41,hadi 42 na wote watoto wanakua sio premature sasa utuambie mama alijifungua week la ngapi?
Maana isije Kua mama alijifungua week la 36 wewe Useme pungufu kama alijifungua chini la week hilo 36 hapo tutaelewa.

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
"Utaambiwa mtoto ni wako hata kama sio wako"
Thats a lie. Ukienda hospital za govment maybe.. but private with enough money wanakupa black and white truth.

Now what will you do with that truth. Thats will be up to you
Kumbe unaweza kupima hospital pia, sio lazima ofisi ya mkemia wa serikali?
 
Unavyosema pungufu unamanisha nini? Kwa sababu mama anaweza kujifungua week la 36,37,38,39,40,41,hadi 42 na wote watoto wanakua sio premature sasa utuambie mama alijifungua week la ngapi?
Maana isije Kua mama alijifungua week la 36 wewe Useme pungufu kama alijifungua chini la week hilo 36 hapo tutaelewa.

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Ukweli sijui ilikuwa pungufu kwa muda gani, lakini kwa hisia zake baada ya kukaa mbali na kwake kwa muda mrefu alihisi mkewe ana ujauzito tayari, na sijui nini kilimfanya ahisi hivyo...
 
Yes mkuu,tofauti kubwa mno ila gharama ji kubwa, but end of the day inategemea unataka ku achieve nini kutokana na matokeo ya DNA test,kama ni kujua tu status ya mtoto pls mwambie rafiki yako atumie common sense yake maana kuna cost kubwa
Cost kubwa shs ngapi??
 
Kumekuwa na kawaida ya watu wenye mashaka na uhalali wa ubaba wao kwa watoto wao, kwa sababu mbali mbali, lakini wengi wao wanapata majibu ya kuwa wao ni baba halali wa watoto hata kama baba ana sababu za msingi za ku-doubt.

Kwa mfano, kuna rafiki yangu ambaye kwa Maelezo yake, anasema alisafiri muda mrefu sana bila kuwepo nyumbani, almost miezi 8, aliporudi alihisi mkewe ni mjamzito, (wakati wa kula tunda alihisi utofauti) baada ya muda mfupi kweli tumbo likawa kubwa jamaa hakuelewa kabisa, ukawa ugomvi kati yao, mke anadai mimba ni ya mumewe mume anakataa.

Wakawa na ugomvi wa muda mrefu kweli mpaka mke akajifungua na jamaa kwa hasira kaamua kupima DNA, akafuata taratibu zote kama zilivyoainishwa.
Akiwa na matarajio ya majibu kuwa NEGATIVE, lakini kwa mshangao mkubwa akakuta majibu yameandikwa kuwa yeye ni baba halali wa mtoto kwa uwiano wa 99.9%.

Jamaa hayaamini matokeo kwa maelezo kwamba ana uhakika mkewe alikuwa mjamzito kabla ya kusex naye baada ya kutoka safari, na majibu yanakuja yakiwa summarized tu bila chati ya kuonyesha namna gani vinasaba vililingana au kutofautiana.

Baada ya stori na huyo bro, nikapitia pitia kidogo maelekezo ya sheria ya vinasaba lakini pia maelekezo ya ofisi ya mkemia mkuu wa serikali, nikakutana na hii statement (nimeambatanisha hapa chini) wenye kujua hizi mambo hii ina maanisha nini? Kwamba majibu yazingatie "ustawi wa mtoto/watoto" ina maana ganiiii?

View attachment 2190407
DNA test za kibongo ni uongo mtupu, hapo kiuhalisia huyo mtoto si wake, lakini wanatoa majibu hayo kulinda ndoa na masilahi ya mtoto tu.
 
Achukue sample (hasa blood)ya mama wa mtoto, mtoto mwenyewe na yeye mwenyewe, tuma SA watafanya hiyo paternity DNA test, majibu yao yanakuja na vipimo vyote walivyofanya (ni zaidi ya 13)na ili mtoto awe ni wako ni lazima vifanane vyote, tofauti ya hata viwili ni negative (mtoto si wako),kama yupo seriously awe tayari kugharimia. Nimejaribu na sasa nimepata ukweli
 
Back
Top Bottom