Kupima DNA (Kwa anaetaka kujua)

If your results say that the alleged father is “excluded”, this means there is zero probability that the person is the biological father, based on the DNA analysis.
 
Hivi dna majibu yanatoka baaada ya siku ngapi... Na wanachukua damu au kitu gani kuzichek...

Nini na nin wanpima.?

Na kwa nin process zake huwa ndefu kupata kibali...
Nami nakazia haya maswali..























Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Ibariki Chakwale
Mungu Ibariki Gairo
Mungu Ibariki Morogoro
 
Ukiwa tayari nijuze nikupe maelekezo
Kuna mmoja nalea wa nje yupo tofauti sana kitabia hata sura hafanani na ndugu zake au mimi, vidole vifupii hata mama yake hana vya namna hii kuna haja ya kupima tu hapa
 
Back
Top Bottom