Nami nakazia haya maswali..Hivi dna majibu yanatoka baaada ya siku ngapi... Na wanachukua damu au kitu gani kuzichek...
Nini na nin wanpima.?
Na kwa nin process zake huwa ndefu kupata kibali...
Inaonesha wewe ni mteja wa katoto kazuri yaani hujawahi kula K. Ni sheria kwa DNA na malipo siyo Laki mbili