Kupima DNA (Kwa anaetaka kujua)

tuko tofauti sana,mm mwanamke nikishadate nae akasema ana mimba yangu hata sitamhoj Mara mbili mbili,sitajihangaisha hata kutaka vipimo vya DNA,ninamchukua mtoto na nitaanza Mara moja kuwajibika kwake kama baba yake,narudia tena tuko tofauti sana,
 
Unafunga kamba, wengine si mara moja kupima DNA lazima wote watatu mnapanua midomo wanachukua sample
 
Sasa nidanganye ili nipate nini waliniletea hiyo hoja ya kupima na mama mtoto nikawauliza kwani mama ana doubt juu ya huyu mtoto? Mimi ndiye na doubt na mtoto acha kukalili mkuu
Unafunga kamba, wengine si mara moja kupima DNA lazima wote watatu mnapanua midomo wanachukua sample
 
Kweli tupo tofauti hadi kiuchumia na moyo mbaya zaidi kuwa nahudumia mtoto ambae nina mashaka nae kunaweza kunifanya nisiwe na amani kwenye kuhudumia kwangu
tuko tofauti sana,mm mwanamke nikishadate nae akasema ana mimba yangu hata sitamhoj Mara mbili mbili,sitajihangaisha hata kutaka vipimo vya DNA,ninamchukua mtoto na nitaanza Mara moja kuwajibika kwake kama baba yake,narudia tena tuko tofauti sana,
 
Sasa nidanganye ili nipate nini waliniletea hiyo hoja ya kupima na mama mtoto nikawauliza kwani mama ana doubt juu ya huyu mtoto? Mimi ndiye na doubt na mtoto acha kukalili mkuu
Inaonesha wewe ni mteja wa katoto kazuri yaani hujawahi kula K. Ni sheria kwa DNA na malipo siyo Laki mbili
 
Natamani ni upload payment Bill niliyotengenezewa uone watatu ilikuwa tulipe laki 3 anyway waweza chagua kukubari au kukataa
Inaonesha wewe ni mteja wa katoto kazuri yaani hujawahi kula K. Ni sheria kwa DNA na malipo siyo Laki mbili
 
Kapime uwe na uhakika maisha yenyewe yapo wapi unapasuka kichwa kisa kuna li demu limekuona we bwege wa kusingiziwa mtoto.
Mimi mwenyew nina kesi inayofanana na yako, nmekazia
 
Unafunga kamba, wengine si mara moja kupima DNA lazima wote watatu mnapanua midomo wanachukua sample
Maelezo yake yana mantiki, shida yake ni kujua DNA yake na mtoto zina match?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…