Kupendwa usipopendwa

Kupendwa usipopendwa

Sure hapo umenena mkuu sema sasa kumuumizaga mtu inakuaga ni shida zaidiii na inakuaga kama gundu ndo maana mtu ka simmind nampa makavu live. Waseme tu naringaa.

Bora waseme tuuu mkuuu kwani wao ni wa kwanza kusema ??????
 
Mimi nafurahi pote pako sawa napenda na napenda, nimefundishwa kupenda
 
nimpendae hata hajali nimeamkaje na nimeshindaje.....
nisiempenda mke wa mtu hofu kufumaniwa....
ni shidaaaaa
 
Hivi ni kwanini mara nyingi mtu unapotokea kumpenda mtu ndio unakuta hana muda na wewe hataa ama ndo anakujibu dry kisooo ila sasa inapotokea mtu hata humuwazi wala huna muda nae ndio anakugaanda na kukupenda mwisho wa siku unaishia kumuumiza na kuonenekana PLAYA ama KICHECHE.

Na mara nyingi wale wa kiume wakionaga manzi anajisogeza inakuaga ngumu sana kukataa.....

Kwanini iko hivo mara nyingi? yaani kupenda usipopendwa na kupendwa usipopenda?

Life is a triangle
A loves B but B loves C and C loves A
 
Hivi ni kwanini mara nyingi mtu unapotokea kumpenda mtu ndio unakuta hana muda na wewe hataa ama ndo anakujibu dry kisooo ila sasa inapotokea mtu hata humuwazi wala huna muda nae ndio anakugaanda na kukupenda mwisho wa siku unaishia kumuumiza na kuonenekana PLAYA ama KICHECHE.

Na mara nyingi wale wa kiume wakionaga manzi anajisogeza inakuaga ngumu sana kukataa.....

Kwanini iko hivo mara nyingi? yaani kupenda usipopendwa na kupendwa usipopenda?

Like Poles don't Attract Each Other..........!!!!!!!!!!!!
 
Ukiweza jifunza kumpenda mtu, bora upende unapopendwa.
 
Aisee hii kitu isikukute maumivu yake ni kama ya aliyeachwa,,Mtu ndo kwanza hana time na ww,,ila sikulalamikii we kijana ni moyo wako tu usionipenda ni shidaaaaaaa,,Ohh Yesu nipe tutakaependana
 
kupenda usipopendwa ni sawa na kusubiri boti uwanja wa ndege. mpende anayekupenda asiyekupenda achana nae maana ni mateso ya moyo.
 
Mapenzi yalikuwa zamani, hivi sasa ni wizi mtupu.
 
Back
Top Bottom