Kupendwa raha jamani

huku mtu ana mwanamke lika mkoa watoto lukuki hahahaahahahh atoke na yupi aache yupi lawama khaaaa sasa kikwete atatoka na mke au mtoto yupi????????

hahaha na kweli!
 


Kwa Watanzania hii haina maadili....imagine Salma ashikwe hivyo!


Ikiwa ameshikwa na Jakaya hamna noma na tunapaswa kuheshimu. Nani hajui Jakaya ni mume wa Salma?
Maadili yapi ya watanzania yanakataza hiyo?
 
Nimewatamani jamani wanapendana wengine ni ndoto haya
 

umemaliza mapwenti yote muhimu.....!
 
Hiyo keki anayopewa jk mbona kubwa kuliko mdomo? Tatizo letu tunapenda kuigiza kuliko uhalisia wa maisha yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…