Kupendwa raha jamani

Kupendwa raha jamani

Hahahahahaha dah kweli jf kiboko kumbe watu mshafanya kweli dah nimefurahi sana yani saana mpaka navyoandika msg hii nacheka peke yangu
Nimeshindwa kuandika stori kwani watu kazi ni kupiga tuu.
Mpaka sasa nimepokea call 15
 
Wewe umenielewa mkuu.

Mkuu naomba nukuulize.
Je wewe ndie ulipiga saa tisa ukanambia upo Manyoni?
Leo utakoma utatongozwa kama simu ya arafu unayo wewe mpaka ujishtukie ukimbilie chooni ukahakikishe jinsia yako.
chezea watu wa jukwaa hili wanavyopenda nanlihi.
 
Hahahahahaha dah kweli jf kiboko kumbe watu mshafanya kweli dah nimefurahi sana yani saana mpaka navyoandika msg hii nacheka peke yangu

Hahaaaaa! Mkuu me cjajarbu hata kwa maana nilijua tu huyu jamaa awezi toa namba ya dem wake kirahisi rahisi tu nikajua hii namba itakua ya huyu jamaa. Hebu pitia post za mwanzo hko nilicheka sana na mimi ndo utaona kumbe kuna jamaa mmoja alfanya hii mambo ya kubuni namba mpka akampata mkuu michael wakachonga nae.
 
Arafa lazima a mind mkuu sababu kama ulivyosema kua alikwisha anza kuwastukia ndio kaanza prove dalili za mwanzo sasa alchokua anakiwaza kichwan mwake kua anamegewa tunda lake na mama J.
Kazi ipo huku.
Sema kuna watu humu wameotea namba na wanaongea nae hapa.

Kuna mmoja jina nalihifadhi kasema eti yeye anaundugu na Bashite. Yaani hapa nabaki kucheka tuu
 
Leo utakoma utatongozwa kama simu ya arafu unayo wewe mpaka ujishtukie ukimbilie chooni ukahakikishe jinsia yako.
chezea watu wa jukwaa hili wanavyopenda nanlihi.
Hahaaahaa!!!

Mkuu watu Arafa kwa sasa ndiye anayepokea simu embu jaribu.
Ila utakuta simu bize
 
Hahaaaaa! Mkuu me cjajarbu hata kwa maana nilijua tu huyu jamaa awezi toa namba ya dem wake kirahisi rahisi tu nikajua hii namba itakua ya huyu jamaa. Hebu pitia post za mwanzo hko nilicheka sana na mimi ndo utaona kumbe kuna jamaa mmoja alfanya hii mambo ya kubuni namba mpka akampata mkuu michael wakachonga nae.
Watu wapo sirias Humu Mkuu.
 
Hahaaaaa! Mkuu me cjajarbu hata kwa maana nilijua tu huyu jamaa awezi toa namba ya dem wake kirahisi rahisi tu nikajua hii namba itakua ya huyu jamaa. Hebu pitia post za mwanzo hko nilicheka sana na mimi ndo utaona kumbe kuna jamaa mmoja alfanya hii mambo ya kubuni namba mpka akampata mkuu michael wakachonga nae.
Watu wapo sirias Humu Mkuu.
 
Wewe umenielewa mkuu.

Mkuu naomba nukuulize.
Je wewe ndie ulipiga saa tisa ukanambia upo Manyoni?

Hapana mkuu me hata sija thubutu kuchukua namba na kupga maan nljua tu hii namba bila shaka ni ya kwako maana kwa jinsi ulvyomsifia sana mtoto Alafa wala usingeliweza toa namba kirahisi rahisi tu.
 
Hahaaaaa! Mkuu me cjajarbu hata kwa maana nilijua tu huyu jamaa awezi toa namba ya dem wake kirahisi rahisi tu nikajua hii namba itakua ya huyu jamaa. Hebu pitia post za mwanzo hko nilicheka sana na mimi ndo utaona kumbe kuna jamaa mmoja alfanya hii mambo ya kubuni namba mpka akampata mkuu michael wakachonga nae.
Unajua jamaa kampa sifa nyingi arafa mpaka anatamanisha so lazima wazee wa kazi wafanye kweli
 
Hahaaahaa!!!

Mkuu watu Arafa kwa sasa ndiye anayepokea simu embu jaribu.
Ila utakuta simu bize
Hahaha ntamtafuta baada ya mwezi sasa hivi mko wote utakuwa wamwambia cha kujibu ngoja ngoja usahau ili nimtokee vizuri...
 
Back
Top Bottom