Mimi huwa nkipenda na Mimi napenda mkuu.mie nna allergy nikikupenda na nikihisi unajishau ntateseka ila nikitoka hapo kwenye mateso ya kukusahau, hata uje bila nguo jibu ni big NO hua nashangaa sanaa kuona mtu mwanamke au mwanamme amemkata halafu anarudiana nae hua nashindwa kufahamu wanatumia dawa gani...
Stori ni yakweli mkuu sema nimetumia Fasihi ilikuinogesha isiboe.Nahisi umekaa sehemu ukaamua kutunga story
HatariDuuh
Aiseeeeee!!Pumbafu zako ww nimeshindwa kumalizia kufua ajili yako
Hapana Mkuuutakuwa ulikutana na shemale wewe..
Endelea kufuatilia MkuuMwisho?
Yaani hapa sijui tenaTunakoelekea mama J anaenda kutibua mahusiano ya Michael na Arafa
Karibu Mkuusound
Inaendelea mkuu
Umejikamatia tuvilaza humu kusikiliza hadithi zako... Ujue mm baba yako rayAiseeeeee!!
Embu kafue huko