Kupendwa raha jamani

Kupendwa raha jamani

Kazi ipo huku.
Sema kuna watu humu wameotea namba na wanaongea nae hapa.

Kuna mmoja jina nalihifadhi kasema eti yeye anaundugu na Bashite. Yaani hapa nabaki kucheka tuu
jf kiboko yan nmeshindwa kujizuia kucheka

Khaa kumbe mafisi wengi hvo
 
jf kiboko yan nmeshindwa kujizuia kucheka

Khaa kumbe mafisi wengi hvo
Hatari Sana Mkuu.

Hapa nilipo nmeshindwa kuandika Stori tena.

Embo Kama wewe unataka kuongea na Arafa njoo Pm nambie ungefanyaje
 
Hatari Sana Mkuu.

Hapa nilipo nmeshindwa kuandika Stori tena.

Embo Kama wewe unataka kuongea na Arafa njoo Pm nambie ungefanyaje
Endelea buanaaa....sasa mm arafa wa nn wakt ni mwanamke mwenzangu au ndo gia zako hzo
 
Basi gani ulipanda mkuu kutoka moshi kuja dar?

Nami mimi nikalipande nikae dirishani kwani wakina Arafa bado wapo wengi...
 
Basi gani ulipanda mkuu kutoka moshi kuja dar?

Nami mimi nikalipande nikae dirishani kwani wakina Arafa bado wapo wengi...
Mkuu jaribu Kilimanjaro...... Ila kwa maelezo yake anadai walifikia hotel ya Liverpool lakini kampuni ya Mabasi niliyokutajia inawapumzisha abairia wake Kwenye hotel yao pale Korogwe na mtu haruhusiwi kuingia na chakula humo ndani. Daah, ngoja tuguess bus lingine. Labda Tahmeed.
 
Mkuu jaribu Kilimanjaro...... Ila kwa maelezo yake anadai walifikia hotel ya Liverpool lakini kampuni ya Mabasi niliyokutajia inawapumzisha abairia wake Kwenye hotel yao pale Korogwe na mtu haruhusiwi kuingia na chakula humo ndani. Daah, ngoja tuguess bus lingine. Labda Tahmeed.
Umepatia mkuu.

Nilipanda Kilimanjaro japo haikusimama pale Highway hotel karibu na Korogwe
 
Haa haa haa
Umenikumbusha
Mbali kwan hakuna
Mtongozo mzur kama
Wa kwny safar aiseeee

Yan mtt hachomoi
Otherwise uwe tu domo zege


Hotel ya Liverpool ilikua chopaa zaman bhana
Now imechoka kupta kias
 
Aaah aaah duu we jamaa penda penda tayar imekua project...istoshe mla wake za watuu
siri wake za watu nakula milupo ambayo haina ndoa wala haijatolewa barua ya posa. Mke wa mtu sumu babu yangu aliniambia toka nina miaka mitano
 
Haa haa haa
Umenikumbusha
Mbali kwan hakuna
Mtongozo mzur kama
Wa kwny safar aiseeee

Yan mtt hachomoi
Otherwise uwe tu domo zege


Hotel ya Liverpool ilikua chopaa zaman bhana
Now imechoka kupta kias
Kweli Mkuu.

Liverpool zaman bhana nashangaa lile Basi liliingiaje Hotel ile kwani wana Hotel yao pale korogwe
 
Kweli Mkuu.

Liverpool zaman bhana nashangaa lile Basi liliingiaje Hotel ile kwani wana Hotel yao pale korogwe
Dha!!! Itakua dereva alikua mgeni
Mkuu hyo hotel haina hadhi kabsa mkuu
Kwa sasa bora Kilimanjaro now ikosawa
 
Back
Top Bottom