KARANJA 007
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,990
- 2,521
Niko serious uko mkoa gani?Ha haa sasa hata kama ninae nitakupaje mie niko mbali!
Niko serious uko mkoa gani?Ha haa sasa hata kama ninae nitakupaje mie niko mbali!
Jasiri haachi asiliKwakuwa anakunywa pombe? Akae nae waongee huwezi jua jamaa anaweza sena anaacha pombe kwani pombe nini bana?
Mbutukuuuu ushampa mburasi aseee.......asante dada wa mie...pamoja...nitakaza kumwomba mungu ambadilishe huku nikimshauri kwa mambo ya msingi
Mbutukuuuu ushampa mburasi aseee.......
Mbutukuuuu ushampa mburasi aseee.......
Habari zenu waungwana..
Mimi nina rafiki yangu wa kiume ambaye ana classmet wake waliosoma pamoja alikuja kumtembelea huyo rafiki.. Jamaa akanimezea mate akamuuliza jamaa huyo binti ana mtu?? Jamaa akamwambia hana..
Sasa huyo rafiki mgeni anataka kuwa na mimi kwenye mahusiano na ni mgeni hapa mjini alikuwa anafanya kazi mkoani akaacha kasema kaja huku kuangalia fursa za biashara afungue biashara.
Sasa tatizo linakuja hapa jamaa anakunywa pombe kama alizaliwa na pombe hajali kama pesa zitaisha na ana miezi mitatu tu kesha tumia zaidi ya milion sita ...hajali mahali popote giza litakapomkuta hapohapo ndo anatafuta lodge ya kulala ..ni mkweli mpaka kupitiliza ...huyo mgeni kasema aliachwa na mpenzi wake baada ya kumhoji kwanini unakunywa pombe hivo??
Sasa waungwana naombeni mnishauri nimfanyeje jamaa aache pombe...ili tuwe na malengo yenye mafanikio...
Niko Arusha ila hayo maziwa sasa sina. We tumia njia yoyote upate hapo kwa jirani,ondoa woga hawezi kukuhisi vibayaNiko serious uko mkoa gani?
Hahaha. Dah we kweli mchaga. Yaani jamaa "kukumezea mate" tu, ushakagua mahesabu. Classment aangalie matumizi bana.
Daah yaani mimi nina bahati ya mtende sababu mimi pia niko Arusha nakaa Bondeni..MUNGU SI ASUMANI.Niko Arusha ila hayo maziwa sasa sina. We tumia njia yoyote upate hapo kwa jirani,ondoa woga hawezi kukuhisi vibaya
Ha haaa niko DarDaah yaani mimi nina bahati ya mtende sababu mimi pia niko Arusha nakaa Bondeni..MUNGU SI ASUMANI.
Classmate naye mrombo?
WEWE MROMBO HATARI
basi chek pia kamaanagegeda vizuri pia...angalia tu kuwamakini usije taka talakaka tabia za pombe zakeniko na chapaa za kutosha...tatizo ni mapombe yake....