Kupendwa na mgeni wa rafiki yako

Kupendwa na mgeni wa rafiki yako

Vizia hiyo pombe yake changanya maziwa kidogo hatatamani pombe tena
nyie na story za kusadikika
ivi unajua pombe wewe?? sio maji yale eti useme sitosikia ladha imebadilika..
pombe ata akanyage nzi ntaisiikia ladha ime change kwaa mbalii
 
Habari zenu waungwana..

Mimi nina rafiki yangu wa kiume ambaye ana classmet wake waliosoma pamoja alikuja kumtembelea huyo rafiki.. Jamaa akanimezea mate akamuuliza jamaa huyo binti ana mtu?? Jamaa akamwambia hana..

Sasa huyo rafiki mgeni anataka kuwa na mimi kwenye mahusiano na ni mgeni hapa mjini alikuwa anafanya kazi mkoani akaacha kasema kaja huku kuangalia fursa za biashara afungue biashara.

Sasa tatizo linakuja hapa jamaa anakunywa pombe kama alizaliwa na pombe hajali kama pesa zitaisha na ana miezi mitatu tu kesha tumia zaidi ya milion sita ...hajali mahali popote giza litakapomkuta hapohapo ndo anatafuta lodge ya kulala ..ni mkweli mpaka kupitiliza ...huyo mgeni kasema aliachwa na mpenzi wake baada ya kumhoji kwanini unakunywa pombe hivo??

Sasa waungwana naombeni mnishauri nimfanyeje jamaa aache pombe...ili tuwe na malengo yenye mafanikio...
Mpe kikojoleo hicho
 
Back
Top Bottom