Kupendwa na mgeni wa rafiki yako

Kupendwa na mgeni wa rafiki yako

bado naendelea kuamini hisia zangu kuwa siku hizi hakuna mapenzi ya dhati bali watu wanaangalia mkwanja... "miezi mitatu ametumia kama milioni sita" hii ndio imekuvuta kwake.
kila la heri
 
Vizia hiyo pombe yake changanya maziwa kidogo hatatamani pombe tena

siataona nataka kumuua wajameni...ila alisema kilichomfanya anywe pombe ni kukosa mshauri na mtu wa karibu wa kubadilishana nae mawazo akaona wanawake hawana maana akaona mke ndo pombe ila anahitaji mwanake wa kumbadilisha maisha yake
 
bado naendelea kuamini hisia zangu kuwa siku hizi hakuna mapenzi ya dhati bali watu wanaangalia mkwanja... "miezi mitatu ametumia kama milioni sita" hii ndio imekuvuta kwake.
kila la heri

jaman sio hela hata mim niko nazo huenda hata zaid ake...pesa ni nin kuliko upendo??
 
Ye wooomi kumbe shida yako ni ndoa????? sasa basi olewa na huyo arawa mtakuwa mnakesha naye baa, maana ukipenda boga upende na ua lake, haika wae, kiruuuuuuuuuuu

ndoa ya ulevi ni sawa na kumkonyeza binti mrembo kwenye kiza...siwez lazimisha hiyo...
 
siataona nataka kumuua wajameni...ila alisema kilichomfanya anywe pombe ni kukosa mshauri na mtu wa karibu wa kubadilishana nae mawazo akaona wanawake hawana maana akaona mke ndo pombe ila anahitaji mwanake wa kumbadilisha maisha yake
Mmhuu, Hapa "Amekuzuga"!!
 
siataona nataka kumuua wajameni...ila alisema kilichomfanya anywe pombe ni kukosa mshauri na mtu wa karibu wa kubadilishana nae mawazo akaona wanawake hawana maana akaona mke ndo pombe ila anahitaji mwanake wa kumbadilisha maisha yake
Okey basi kua nae karibu kama ni mtu wa kushaurika atabadilika. Kama umeridhika nae naamini ukitumia uanamke wako hutashindwana nae
 
Okey basi kua nae karibu kama ni mtu wa kushaurika atabadilika. Kama umeridhika nae naamini ukitumia uanamke wako hutashindwana nae

asante dada wa mie...pamoja...nitakaza kumwomba mungu ambadilishe huku nikimshauri kwa mambo ya msingi
 
dah pesa tamu naona ushaingia kingi ishu tu ni jinsi aache pombe....angekuwa hana mkwanja ungesema hulitaki jamaa lilevisana......PESA PESA PESA LOH
 
Siku nikiacha kunywa pombe, ndipo nitakuja kuchangia huu uzi aiseeee...[emoji6]
Ngoja niweke alama tu kwanza
 
Loooh..wala sijadate nae maana hata miezi mitatu bado haijaisha ya kufahamiana nae...nina hofu ya mungu..
Bt unampenda tayar hata kama hujaanza date naye. Mungu akufungue macho ya rohon uone; huyo si mume sahihi kwako; muache hata kama unaumia bt baadaye maumivu yataisha.
 
Hahahaa huyo jamaa ana mbinu kali maana kesha faham ana mtaka mchaga kwahyo anaanza show off za matumizi,toa papuchi kwanza halafu mshauriane kuhusu pombe.
 
Mbulanaaae...wew unataka kunipeleka jehanamu gani wew ndugu ..kiruuu...sina shida na hela zake maana kwetu zipo na mim ninazo ...nahitaji upendo wake kama atanifaa kuwa mume..pesa si kila kitu unaweza kuwa na pesa lakin huna mani wala furaha za kazi gani?/
Sio mume huyo my dear frnd. Usijiingize ktk jehanamu kabla hujafa. Utaona life ni mbaya. Hata kama ana sura nzur muache cz hiyo sura utaiona mbovu baadaye. Let him go. Hato kuwa responsible man to u. Muacheeee hata kama unaumia
 
Back
Top Bottom