Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,097
- 62,048
Nakubaliana nawe...No money no honey...just agree that!
ha ha ha ha inawezekana ikawa hivyo..Hapo sio kwamba unakuwa umependwa ila umefanywa buzi. Mtu akikupenda anakupenda kivyovyote
Basi wewe ni mtulivuMbn msukuma nampenda na hanipi kitu
Unawakomoa sio?Nilipokuwa naanza hizi mambo nilikuwa namfanya mwanaume kama ndo baba kwangu(nadhani coz sijawahi pata mapenz toka kwa baba alikufa ningali mdogo a k a mchanga) nilikuwa nampenda mwanaume toka moyoni ndani kabisa,sikuwahi nyanyua mdomo wangu ati NAOMBA HELA ...NOO.Nilivyokuja umizwa kisenge aisee...ushawahi mwona kitimoto akikoswa rungu LA kichwa anavyotimka.I started to be a GOLD DIGGER!
ha ha ha haNilipokuwa naanza hizi mambo nilikuwa namfanya mwanaume kama ndo baba kwangu(nadhani coz sijawahi pata mapenz toka kwa baba alikufa ningali mdogo a k a mchanga) nilikuwa nampenda mwanaume toka moyoni ndani kabisa,sikuwahi nyanyua mdomo wangu ati NAOMBA HELA ...NOO.Nilivyokuja umizwa kisenge aisee...ushawahi mwona kitimoto akikoswa rungu LA kichwa anavyotimka.I started to be a GOLD DIGGER!
Nilikuwa now nipo ndaniUnawakomoa sio?
Chui habadiliki madoa....say hi to the lucky brotherNilikuwa now nipo ndani
Yaa sure ...amekubaliana na haliChui habadiliki madoa....say hi to the lucky brother
Watajiju sasa,kufikishwa kileleni watatufikisha na pesa watatoa.Mna jema nyie kwani?
Kwa nini wasema hivyo?Mna jema nyie kwani?