Kupendeza sio kuvaa nusu uchi

Kupendeza sio kuvaa nusu uchi

Tatizo ushindani baba, wanawake wako wengi, wanaume wachache (heterosexual), ili kujiuza lazima wavae kihivyo, utashangaa mwanamke kavaa nusu uchi kabisa lakini anakwambia hana shida ya mwanaume!
Tazama hizi picha za mavazi, zaitwa (Vagina Cleavage)! Ni hatari tunapoelekea kwa kweli, cha kushangaza eti wanaonekana wamependeza?!
images (7).jpg
images (6).jpg
images (4).jpg
images (9).jpg
download.jpg
images (1).jpg
download (1).jpg
 
Tatizo ushindani baba, wanawake wako wengi, wanaume wachache (heterosexual), ili kujiuza lazima wavae kihivyo, utashangaa mwanamke kavaa nusu uchi kabisa lakini anakwambia hana shida ya mwanaume!
Tazama hizi picha za mavazi, zaitwa (Vagina Cleavage)! Ni hatari tunapoelekea kwa kweli, cha kushangaza eti wanaonekana wamependeza?!
View attachment 575222 View attachment 575224 View attachment 575225 View attachment 575226 View attachment 575227 View attachment 575228 View attachment 575229
Sasa haya ni mavazi au anatembea uchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mtu anapenda kuvaa na kupendeza, lakini angalia jinsi unavyo vaa ukiwa mbele za watu kwan jinsi unavyo vaa ndivyo watu watakavyo kufahamu kwa kupitia uvaaji na muonekano wako

Kupendeza sio kuvaa nguo fupi zaidi hadi kuacha sehemu zisizo sitahili kuonekana kila Unapopita au kuvaa nguo inayo kubana zaidi kiasi kwamba inakuonesha maungo yako yote hadi nguo za ndani

Unakuwa u namaanisha nini au unalengo gani kuvaa nguo fupi zaidi hadi kuacha sehemu zingine kuonekana au kuvaa nguo inayo kubana zaidi kiasi kwamba inakuonesha maungo yako yote na kukuchoka jinsi ulivyo hadi ndani?

Unataka wanaume wakutamani? Au ni biashara unatangaza watu waone? Kama si hivyo sasa unataka kumuonesha nani mwili wako? Au unapenda Unapo pita sehem wanaume wote wageuke kukutazama?

Sasa kama umeamua kuvaa ivo mbona Ukifika kwa watu unaanza kulazimisha nguo iwe ndefu unaivuta kana kwamba hukujiona wakati unavaa?

Mbona ukipita kwa watu unaanza kunificha ficha unaogopa jinsi nguo ilivyo kubana hadi unashidwa kutembea?

Watu watakuheshim vip wakati unavaa nusu uchi? Kila unako pita kila mtu anakuona had nguo ya ndani

Vaa mavazi ya heshima kwanin kupendeza sio kutembea nusu uchi huko ni kujidharirisha

Vaa vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana hamu ya ndoa inakosekana

Alafu wanasema oo colew kumbe mambo yote yako nje sasa mtu atavutiwa na nn???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbaya zaidi hata maeneo ya ibada/kanisani utakuta mtu kavaa ajabu sana, nguo juu ya magoti, kukaa vizuri hawezi, kila saa kuvuta nguo chini wakati yenyewe ni fupi.

Kweli nashindwa kuelewa, ningekuwa na nafasi huko makanisani I'd ban all women who wear half naked.
 
Huu ujumbe ungesindikizwa na kapicha au ka video ungeeleweka sanah

ushauri wa bure
 
Back
Top Bottom