Kupendeza sio kuvaa nusu uchi

Kupendeza sio kuvaa nusu uchi

Kuna Mlimbwende mmoja nilikuwa najitahidi kumuelekeza kutokuvaa Nguo fupi.

Na ikafika siku nikamuuliza.

Hivi kuvaa nusu Uchi kuna faida gani?

Jibu alilonipa, huwezi amini.

Shuka tena chini
 
Kwa kweli nilichoka sana kwa jibu lile.

Labda mie bado nasumbuliwa na Ushamba.

Naomba mnisaidie.

Shuka tena chini
 
Soja p.

Jibu wewe hilo swali.

Mimi niliambiwa hivyo.

Sasa sijui ni Ushamba unanisumbua!
 
Soja p.

Labda maungo ya Mwili yanapoonekana halafu hayana hata Kovu moja.

Pengine ndio Usafi wenyewe niliokuwa nakusudiwa.

Lakini sina hakika.

Nilipopewa jibu la Usafi ikabidi nikaushe ili kutoleta mtafaruku
 
Back
Top Bottom