Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,751
- 3,380
Kuna wanaodai eti kabila fulani ndo wanapenda sana ngono.
Utaskia sijui wapare ni viwembe au sijui wanyiramba sijui wambulu au wahaya ni balaa kwa ngono.
Mimi Braza Kede kwa akili yangu timamu na pasina sheria wala shuruti nipo hapa kuwathibitishia kwa utafiti wangu huru kuwa jambo hilo halina japo chembe ya ukweli.
Ngono haijali wewe ni wa kabila gani. Kila mmoja anaipenda.
Habari ndio hiyo.
Utaskia sijui wapare ni viwembe au sijui wanyiramba sijui wambulu au wahaya ni balaa kwa ngono.
Mimi Braza Kede kwa akili yangu timamu na pasina sheria wala shuruti nipo hapa kuwathibitishia kwa utafiti wangu huru kuwa jambo hilo halina japo chembe ya ukweli.
Ngono haijali wewe ni wa kabila gani. Kila mmoja anaipenda.
Habari ndio hiyo.