Kupenda harufu ya........

Kupenda harufu ya........

Chocolate

Senior Member
Joined
Feb 5, 2009
Posts
117
Reaction score
48
​Nina rafiki/mpenzi wangu wa kiume ambaye kwa kweli nimeshindwa kumuelewa tabia yake hii. Kila tunapokutana (siyo kwa ajili ya kudo) yeye hupenda sana kuingiza mkono wake kwenye makwapa yangu halafu anakaa akiunusa mkono wake kusikilizia ile harufu na wakati mwingine hata huingiza mkono kunako na pia kunusa mkono wake. Nimejaribu kumuuliza anafaidika na nini kwa harufu hizo anasema yeye anapenda tu. Sasa kwa kweli mimi sipati picha hii ni tabia ya aina gani maana wakati mwingine ni harufu ya jasho tupu lakini yeye yupo tu anaifurahia. Je ana ugonjwa wa kupenda harufu au ni vipi nisaidieni tafadhali.
 
​Nina rafiki/mpenzi wangu wa kiume ambaye kwa kweli nimeshindwa kumuelewa tabia yake hii. Kila tunapokutana (siyo kwa ajili ya kudo) yeye hupenda sana kuingiza mkono wake kwenye makwapa yangu halafu anakaa akiunusa mkono wake kusikilizia ile harufu na wakati mwingine hata huingiza mkono kunako na pia kunusa mkono wake. Nimejaribu kumuuliza anafaidika na nini kwa harufu hizo anasema yeye anapenda tu. Sasa kwa kweli mimi sipati picha hii ni tabia ya aina gani maana wakati mwingine ni harufu ya jasho tupu lakini yeye yupo tu anaifurahia. Je ana ugonjwa wa kupenda harufu au ni vipi nisaidieni tafadhali.

We mruhusu tu siku ataomba aingize kwenye kabaang
 
​Nina rafiki/mpenzi wangu wa kiume ambaye kwa kweli nimeshindwa kumuelewa tabia yake hii. Kila tunapokutana (siyo kwa ajili ya kudo) yeye hupenda sana kuingiza mkono wake kwenye makwapa yangu halafu anakaa akiunusa mkono wake kusikilizia ile harufu na wakati mwingine hata huingiza mkono kunako na pia kunusa mkono wake. Nimejaribu kumuuliza anafaidika na nini kwa harufu hizo anasema yeye anapenda tu. Sasa kwa kweli mimi sipati picha hii ni tabia ya aina gani maana wakati mwingine ni harufu ya jasho tupu lakini yeye yupo tu anaifurahia. Je ana ugonjwa wa kupenda harufu au ni vipi nisaidieni tafadhali.
Yani mpenzi me kukufanyia vile ndo umekuja kunisemea uku jf...kweli hauna siri
 
Ni jambo la kawaida baadhi ya Binadamu wake kwa waume kusisimuliwa na harufu ya jasho la mupenzi. Kama yeye hajakwambia hivyo basi ana lake jambo mdadisi zaidi ili kujua kulikoni.



​Nina rafiki/mpenzi wangu wa kiume ambaye kwa kweli nimeshindwa kumuelewa tabia yake hii. Kila tunapokutana (siyo kwa ajili ya kudo) yeye hupenda sana kuingiza mkono wake kwenye makwapa yangu halafu anakaa akiunusa mkono wake kusikilizia ile harufu na wakati mwingine hata huingiza mkono kunako na pia kunusa mkono wake. Nimejaribu kumuuliza anafaidika na nini kwa harufu hizo anasema yeye anapenda tu. Sasa kwa kweli mimi sipati picha hii ni tabia ya aina gani maana wakati mwingine ni harufu ya jasho tupu lakini yeye yupo tu anaifurahia. Je ana ugonjwa wa kupenda harufu au ni vipi nisaidieni tafadhali.
 
Last edited by a moderator:
Siku za mwisho zinakaribia kwahiyo jiweke
tayari .......
 
​Nina rafiki/mpenzi wangu wa kiume ambaye kwa kweli nimeshindwa kumuelewa tabia yake hii. Kila tunapokutana (siyo kwa ajili ya kudo) yeye hupenda sana kuingiza mkono wake kwenye makwapa yangu halafu anakaa akiunusa mkono wake kusikilizia ile harufu na wakati mwingine hata huingiza mkono kunako na pia kunusa mkono wake. Nimejaribu kumuuliza anafaidika na nini kwa harufu hizo anasema yeye anapenda tu. Sasa kwa kweli mimi sipati picha hii ni tabia ya aina gani maana wakati mwingine ni harufu ya jasho tupu lakini yeye yupo tu anaifurahia. Je ana ugonjwa wa kupenda harufu au ni vipi nisaidieni tafadhali.
Usimshangae. Hata mimi niko hivyo na pengine zaidi ya huyo bf wako. Ipo harufu fulani ya kwapa la kike inayonisisimua sana. Nakumbana nayo kwenye daladala na kwenye mikusanyiko. Nikishaisikia hiyo harufu huyo mwanamke naanza kumpenda hapohapo, na nikipata nafasi namsemeshe hapohapo. Ina raha sana aisee! Hiki kitu kinaelezeka kisayansi. Kumbuka: harufu ya kwapa si uchafu ila ni mseto wa kemikali za mwili zinazowakilisha personality ya mtu.
 
duh... jamaa anapenda kunawa huyo!! hao watu wapo wanapenda kweli kunawa na ndio starehe yao kubwa!!!
 
hapa nina mashaka kidogo
kwenye naniii naweza kukubali
ila kwapani mmmmh.
Harufu ya kwapa lako inawakilisha chemical make-up of your body.Mtu wako akitokea kupenda harufu ya kwapa lako Mamndeny, usimshangae, it is a normal human/animal behaviour. Kwenye nanihii ndo kwenyewe kabisaaaa! Beberu wametufundisha.
 
Last edited by a moderator:
Siku za mwisho zinakaribia kwahiyo jiweke
tayari .......
Sidhani Kennedy! Hayo mambo hayana uhusiano na siku za mwisho ila yana uhusiano na sayansi ya bayolojia.
 
Last edited by a moderator:
its normal. kuna wengine hupenda harufu ya k%u*(*m&&a, wengine kwapa, wengine katikati ya 0713 na ***** etc. kwa nini watu wanadhani kwenda chumvi, kunyonya mb** ni ok lakini kunusa kwapa ni ''ajabu'' na ''kushangaza''?
 
​Nina rafiki/mpenzi wangu wa kiume ambaye kwa kweli nimeshindwa kumuelewa tabia yake hii. Kila tunapokutana (siyo kwa ajili ya kudo) yeye hupenda sana kuingiza mkono wake kwenye makwapa yangu halafu anakaa akiunusa mkono wake kusikilizia ile harufu na wakati mwingine hata huingiza mkono kunako na pia kunusa mkono wake. Nimejaribu kumuuliza anafaidika na nini kwa harufu hizo anasema yeye anapenda tu. Sasa kwa kweli mimi sipati picha hii ni tabia ya aina gani maana wakati mwingine ni harufu ya jasho tupu lakini yeye yupo tu anaifurahia. Je ana ugonjwa wa kupenda harufu au ni vipi nisaidieni tafadhali.
Mbona hushangai wajawazito kupenda harufu ya soksi mara baada ya kuzivua...
 
hahahaha lol!!!! Hii kiboko!!!! Maana wengine soksi zao zinaleta ile mbayaaaa unaweza kumwambia mtu naomba viatu vyako na soksi viweke nje

Mbona hushangai wajawazito kupenda harufu ya soksi mara baada ya kuzivua...
 
Back
Top Bottom