Kupenda harufu ya........

Kupenda harufu ya........

Usimshangae. Hata mimi niko hivyo na pengine zaidi ya huyo bf wako. Ipo harufu fulani ya kwapa la kike inayonisisimua sana. Nakumbana nayo kwenye daladala na kwenye mikusanyiko. Nikishaisikia hiyo harufu huyo mwanamke naanza kumpenda hapohapo, na nikipata nafasi namsemeshe hapohapo. Ina raha sana aisee! Hiki kitu kinaelezeka kisayansi. Kumbuka: harufu ya kwapa si uchafu ila ni mseto wa kemikali za mwili zinazowakilisha personality ya mtu.

mmh,mie napita tu.:kev:
 
​Nina rafiki/mpenzi wangu wa kiume ambaye kwa kweli nimeshindwa kumuelewa tabia yake hii. Kila tunapokutana (siyo kwa ajili ya kudo) yeye hupenda sana kuingiza mkono wake kwenye makwapa yangu halafu anakaa akiunusa mkono wake kusikilizia ile harufu na wakati mwingine hata huingiza mkono kunako na pia kunusa mkono wake. Nimejaribu kumuuliza anafaidika na nini kwa harufu hizo anasema yeye anapenda tu. Sasa kwa kweli mimi sipati picha hii ni tabia ya aina gani maana wakati mwingine ni harufu ya jasho tupu lakini yeye yupo tu anaifurahia. Je ana ugonjwa wa kupenda harufu au ni vipi nisaidieni tafadhali.

anakutafutia sababu huyo kuwa makini bishosti utakuja soon tu na uzi wakukimbizana yaani kutemana..
 
MBona hapo hakuna cha ajabu? Wengine tunapenda kuvaa nguo za waume zetu ambazo wamevua unafikiri ni nguo inahitajika ama ni ile harufu ya jasho lake.
 
Anakupima kama unaliwa papuchi huyo ohoo! We shangaashangaa tuu

"To know the enemy is half the victory"
 
Sioni Matratrizo hapo, hata mie nakapenda ka mama nanihii na nikihitaji napeleka pua hadi nipate usingizi....Ngoja niachie hapa isije tokea napeleka bangi kwa Chagonja
 
​Nina rafiki/mpenzi wangu wa kiume ambaye kwa kweli nimeshindwa kumuelewa tabia yake hii. Kila tunapokutana (siyo kwa ajili ya kudo) yeye hupenda sana kuingiza mkono wake kwenye makwapa yangu halafu anakaa akiunusa mkono wake kusikilizia ile harufu na wakati mwingine hata huingiza mkono kunako na pia kunusa mkono wake. Nimejaribu kumuuliza anafaidika na nini kwa harufu hizo anasema yeye anapenda tu. Sasa kwa kweli mimi sipati picha hii ni tabia ya aina gani maana wakati mwingine ni harufu ya jasho tupu lakini yeye yupo tu anaifurahia. Je ana ugonjwa wa kupenda harufu au ni vipi nisaidieni tafadhali.

Hapewi?akinusa tu anaondoka?
 
Jambo la kawaida hilo! Inajulikana kama "armpit Psychology: the science of body odor perception".
 
Huyo jamaa ana tabia ya mbuzi dume au ana nyota ya mbuzi
 
Usishangae! Ni asili ya wanyama.... hata mie napenda...teh!
 
hiyo ndio best unique character yake...! Enjoy
 
Back
Top Bottom