Kupatwa kwa IFM

Ndiyo maana nilidaiwa TOEFLS na vingine sijui ISLETS nikafanye pale British Embassy kipindi flan ni kwa sababu hii, Ee Mungu uturehemu

Hahahaha ISLETS kabisa mkuu!?? hahaha...

TOEFL ni ya Mmarekani zaidi lakini.

British Council wana IELTS...
 
Huyu dada kapatwa kweli,bora atumie kiswahili au kilugha
 

Attachments

  • 1475825370585.png
    95.9 KB · Views: 48
  • 1475825382744.png
    155.8 KB · Views: 53
  • 1475825400988.png
    69.2 KB · Views: 55
Inapendeza kuona kapata u famous!!!!! Coz na shka vchwa vya haba....... Na vya wa........
 
senk yuuu vere vere fo mekingi mi lafu..heheheheh samtaim tukae kimya tufiche weaknesses zetu.anyway hata shilole alianzia mbali coz hata mbuyu ulikuwaga kama mchicha
 
Hivi kumbe siku hizi IFM inaitwa University!
 
not only a problem to tanzanian students.. even tanzanian mkulu
Ni tatizo kweli kweli! Tena kwa asilimia kubwa ya kwetu sisi tuliosoma michepuo ya sayansi. Yawezekana ndio sababu mojawapo ya kutoondoka nyumbani
 
Ndiyo maana nilidaiwa TOEFLS na vingine sijui ISLETS nikafanye pale British Embassy kipindi flan ni kwa sababu hii, Ee Mungu uturehemu
Ni kazi kweli mkuu, Mungu atusaidie. Ila uwezo wa mtu kujifunza anao kama ana nia ya dhati..
 
walioko fb wamuulize kwa kiswahili alitaka kusema nini halafu wamuandikie ili ajifunze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…