Kupatwa kwa IFM

Kupatwa kwa IFM

Huyu dada kapatwa kweli,bora atumie kiswahili au kilugha
Hapo kamaliza form six, na nadhani atakuwa amesoma mchepuo wenye H ndani yake. Sasa kama ninavyofikiri ni kweli, basi ni tatizo. Ila kama ana nia ya dhati ataweza kujifunza na kuelewa.
 
kajitahidi sana huku tunaongea kiswahili kuna nchi hawajui kiingereza
 
Mimi nime comment huko fb .Nasubiri kutukanwa tu
 
Hizi shule zichunguzwe ni jipu haiwezekani awe amemaliza form six hawezi kuandika sentensi ya kiingereza ikaeleweka.
 
Hope hata report zake zitapatwa hivi hivi
 
Kweli Walimu wana KAZI ngumu...
Kusahisha mitihani ya wanafunzi wa sampuli hii ni zaidi ya KAZI..!
 
Back
Top Bottom