Kupatwa kwa IFM

Kupatwa kwa IFM

Hivi kuna viongozi wowote wa ngazi za juu ambao wametokea hapo kweli?
Kila ninaemsikia anataja kasomea UDSM, MZUMBE, SUA. Hao wahitimu wa hapo vp, tangu 1972?
Kama intake ndio hizo, asalaaale.
 
Nyingine ya kwake hii. Inaonekana ana shida kubwa aloo
 

Attachments

  • wp_ss_20161007_0002.png
    wp_ss_20161007_0002.png
    91 KB · Views: 36
Hahahaha ISLETS kabisa mkuu!?? hahaha...

TOEFL ni ya Mmarekani zaidi lakini.

British Council wana IELTS...
Ndo hayo hayo mimi hata sikuyakariri, niliambiwa na uongozi wa University of Quinsland, nikaenda London School of Business wakasema hayo hayo nikaona isiwe kesi
 
Aangalie sana IFM watu wanadisco semister ya kwanza tu
We mwache kile chuo hakitakagi mambo ya kijinga! Semester ya kwanza tu chaliii ...kunakuwaga na viquiz na viassignment vya ajabu ajabu na vile ndo vinakuondoa
 
Sioni tatizo lake. Kwanza naona anajitahidi. Sema tuu ana pronunciation za Kisukuma/ Kurya. Mie nilifikiri athari ya Lugha mama haionekani kwenye maandishi. Otherwise, spelling zake mbovu kama cyo swaga za vijana wanaojiita "wakileo".

Kwa mfumo wetu wa elimu ulivyo, she is competent!
 
Back
Top Bottom