Kupatanisha wanandoa

Kupatanisha wanandoa

Wanaogombana wanajuana na wana sababu,waache hivyo hivyo.
 
TUNAPATANISHA WANANDOA HAPA.
Itakua unyama sana mkuu, piga bonge la bando kama maduka ya sinza
 
Wewe mpatanishi uwe mtu aliyeoa au kuolewa na kudumu kwenye ndoa zaidi ya miaka 15, utakuwa umesharuka vihunzi vingi, sasa toa maoni jinsi ya kupambana na hivyo vihunzi. Ningependa uwe mwanafalsafa ili ujue namna ya kuchanganua mambo.
bro mie nina ndoa 2,mmoja ni mtanzania na wa pili sio mtanzania,nina miaka 35 ya ndoa,nina ujuzi mkubwa mno nimepitia kila kitu kwenye ndoa hizo
 
Nafanya maandalizi ya kuanzisha mpango wa kupatanisha wanandoa,kwani magomvi miongoni mwao ni mengi sana na yanasababisha maafa mengi mno.Naomba mawazo yenu kuhusu jambo hili
Ni kazi takatifu. Na mimi nimeteuliwa somewhere kuifanya hiyo kazi. Ni ngumu ngumu sana ila ni muhimu.
 
Nafanya maandalizi ya kuanzisha mpango wa kupatanisha wanandoa,kwani magomvi miongoni mwao ni mengi sana na yanasababisha maafa mengi mno.Naomba mawazo yenu kuhusu jambo hili
Wew ni padri au askofu(.....)??
 
Back
Top Bottom