Gotze Giyani
Senior Member
- Feb 28, 2022
- 143
- 212
Wadau poleni na majukumu
Mimi ninahoja kama 3 naomba tujadili kidogo.Hivi wadau kwa aliyewai kufanya kazi akapa mshahara mnono na package nono alifanyaje ilikuwa ni bahati au connection nauliza hivyo sababu mimi sijawai kupata hiyo bahati ila kazi uwa napata hilo namshukuru Mungu kingine hivi pia hili la Veta limekaaje au ndio viongozi wetu wanatuchukulia poa sana.
Wadau karibuni na experience zenu za kupata kazi sehemu nzuri nataka nipate uzoefu wenu nitafurai na pia je alikuwa anajituma kazini??
Mimi ninahoja kama 3 naomba tujadili kidogo.Hivi wadau kwa aliyewai kufanya kazi akapa mshahara mnono na package nono alifanyaje ilikuwa ni bahati au connection nauliza hivyo sababu mimi sijawai kupata hiyo bahati ila kazi uwa napata hilo namshukuru Mungu kingine hivi pia hili la Veta limekaaje au ndio viongozi wetu wanatuchukulia poa sana.
Wadau karibuni na experience zenu za kupata kazi sehemu nzuri nataka nipate uzoefu wenu nitafurai na pia je alikuwa anajituma kazini??