Usijute unaongea hivi hata form four ulipata division 5Unapataje F general study kama sio umburura tu huo....af unakuja kujitapa humu...hata kuwapa mkopo nyie vijana kumbe ni wast of money tuu.. tatizo mda wote mnafatilia Maisha ya Lulu, Diamond na ant ezekiel....wewe ni fail kabisa ni bora urud form one
Akili za kulali mbona ndyo wanaongoza kwa kuwa na ma zero kibao?PCM na PCB ndo comb wanazo soma watu wenye uwezo Mkubwa darasani usitegemee T.O kutoka Hkl,HGK
Usijute unaongea hivi hata form four ulipata division 5
Labda vichwa vya panzii...mbona watu walienda kwa mbwembwe advance kusoma PCM na one zao,,kilichowakuta ni siri yao.....saiz wanatumia vyeti vya o level kusoma diploma .....somo la kumeza maformular ,,formula nyingine zimebebana kama tran imedondoka vile.....TO anatoka huko kwenye PCM maana ndio vichwa vinakuwa huko
Mkuu kuna mtu namjua Alienda Advance Na PCM akapata S zote.Akaanza Upya Advance Na HKL akatoka form Six Na One ya 4.Sasa wewe niambie mtu mmoja tu aliyefeli HKL ,HGK,HGL advance akaenda kurudia PCM akafaulu,kama yupo hata mmoja tu unitajie.Labda vichwa vya panzii...mbona watu walienda kwa mbwembwe advance kusoma PCM na one zao,,kilichowakuta ni siri yao.....saiz wanatumia vyeti vya o level kusoma diploma .....somo la kumeza maformular ,,formula nyingine zimebebana kama tran imedondoka vile.....
Kama hao wenye vichwa wanapata zero je wangeenda Matutusa Si ingekuwa balaa.Akili za kulali mbona ndyo wanaongoza kwa kuwa na ma zero kibao?
Kwanini basi watu hawakalili Form four ili wafaulu vizuri Maths Phys Na Chemistry.Kama ishu ni kukariri basi F Za Phys Na Maths o level zingekuwa chache maana huko wanasoma wote.Sikia mkuu TO anatoka PCM kwa sababu ayo masoma ni mahesabu tu ,na ukipata jibu ni hilo hilo na marks wanakupa kama ilivopangwa ....tofauti na masomo ya kujieleza ambapo kila mtu anamaelezo yake ,kumshawish msahihishaji akupe marks zote ni ngumu ...ndo maana kupata A ya math,phyz, ni rahis kuliko kiswahili,history,language....kiufupi math ,phyz,chem ,bios...ni masomo ya kukalili na kuhamishia kwenye mtihan ....ukiweza ivo utachora A za maana ...ila aya wengine ni maelezo
hakuna kitu kama hicho!! masomo ya sayansi siyo ya kukariri kama unavyofikiri kama huna concept utasolve vipi? fanya analysis ndogo tu o level mara nyingi A za kiswahili zinakuwa nyingi tofauti na hesabu au Physics. Mwanafunzi huyohuyo anapata A au B ya kiswahili ila anapata F ya hesabu, ila anayepata A ya hesabu ni mara chache sana kufeli kiswahiliSikia mkuu TO anatoka PCM kwa sababu ayo masoma ni mahesabu tu ,na ukipata jibu ni hilo hilo na marks wanakupa kama ilivopangwa ....tofauti na masomo ya kujieleza ambapo kila mtu anamaelezo yake ,kumshawish msahihishaji akupe marks zote ni ngumu ...ndo maana kupata A ya math,phyz, ni rahis kuliko kiswahili,history,language....kiufupi math ,phyz,chem ,bios...ni masomo ya kukalili na kuhamishia kwenye mtihan ....ukiweza ivo utachora A za maana ...ila aya wengine ni maelezo
Watu hawajui tu mi nina demu wangu ametafuta credits three consecutive yrs akapata akaenda kusoma HKL advance ametoka na div 1 ya 8pts. Sasa uliza kama kuna watafuta credit wanaokwenda advance kusoma comb yoyote inayoanzia na P.Mkuu kuna mtu namjua Alienda Advance Na PCM akapata S zote.Akaanza Upya Advance Na HKL akatoka form Six Na One ya 4.Sasa wewe niambie mtu mmoja tu aliyefeli HKL ,HGK,HGL advance akaenda kurudia PCM akafaulu,kama yupo hata mmoja tu unitajie.
Mara nyingi mtu anayesoma PCM kuna uwezekano mkubwa hata hiyo HKL akaimudu.Lakini aliyeenda HKL ni nadra sana akaweza kuimudu PCM.
Ndo hapo utajua vichwa vipo wapi
Low claiming capacity....Kwanini basi watu hawakalili Form four ili wafaulu vizuri Maths Phys Na Chemistry.Kama ishu ni kukariri basi F Za Phys Na Maths o level zingekuwa chache maana huko wanasoma wote.
Hahahahaaaa anayejua hasomi hayo masomo. Hao wote wengi wao science iliwashindaKwel sijaona A ya GS mwaka huu...somo lolote la maelezo sio rahisi kulifaulu linaconcept kibao mpaka umushawish msahihishaji akupe marks nying ni kaz..ndo maana ma T.O Mara nying ni PCM au PCB ...jiulize kwanin hakunaga TO wa HKL,HGK,KLF,HGL...kupata A ya kiswahili ni kaz ingawa ni lugha ya taifa
Mbona mm nimechora A kwenye hayo masomo unayolia lia na nikasoma PCM na hao waliokuwa wanajifanya art ndio kabisa walikuwa hata hawanikaribii afu leo unaleta mada eti art ngumu # jitafakariSikia mkuu TO anatoka PCM kwa sababu ayo masoma ni mahesabu tu ,na ukipata jibu ni hilo hilo na marks wanakupa kama ilivopangwa ....tofauti na masomo ya kujieleza ambapo kila mtu anamaelezo yake ,kumshawish msahihishaji akupe marks zote ni ngumu ...ndo maana kupata A ya math,phyz, ni rahis kuliko kiswahili,history,language....kiufupi math ,phyz,chem ,bios...ni masomo ya kukalili na kuhamishia kwenye mtihan ....ukiweza ivo utachora A za maana ...ila aya wengine ni maelezo
Gs sio ngumu ila akili yako ndio mbovuGS hata usomeje kufaulu ni shida sana ,unaeza kuta mtihani ukaona mtihani rahisi na ukajiaminisha unapata A lakini tokeo likija una F
Watu wa zamani walifichiwa aibu kidogo tokeo lao walikuwa wanawekewa S siku hizi upendeleo huo hakuna
Kama mwenye one alipata zero sasa wew ungeenda kupata ngap maana hata hiyo zero usingeipataLabda vichwa vya panzii...mbona watu walienda kwa mbwembwe advance kusoma PCM na one zao,,kilichowakuta ni siri yao.....saiz wanatumia vyeti vya o level kusoma diploma .....somo la kumeza maformular ,,formula nyingine zimebebana kama tran imedondoka vile.....
Nakumbuka siku moja baada ya matokeo ya terminal kutoka kwenye egm nilikia na ABA alafu gs nikawa na 30,Nilikua natafuta S ya GS, nisingeweza kuacha kusoma Uchumi, Maths na Geog nikasome GS.
Mtu anambie Eti Sayansi ni kuclaim tu aaah haiji akilini kabisaMbona mm nimechora A kwenye hayo masomo unayolia lia na nikasoma PCM na hao waliokuwa wanajifanya art ndio kabisa walikuwa hata hawanikaribii afu leo unaleta mada eti art ngumu # jitafakari
Teh teh teh baeleze baeleweKama mwenye one alipata zero sasa wew ungeenda kupata ngap maana hata hiyo zero usingeipata