Syosaamenye
Member
- Jun 7, 2012
- 79
- 7
Eti wadau kwa mtumishi wa umma kupandishwa daraja kazini inakuaje? maana kuna dada mmoja analalamiaka sana anasema hajapandishwa daraja wakati muda wa kupandishwa daraja ulipita tangu mwaka jana, je anaweza kumshtaki mwajili kwa maana hakuna barua ya kalipio lolote aliyowahi kuandikiwa wala kufanya misconduct yoyote katika kipindi cha utumishi wakae. naomba mnijuze ili nimsaidie....