Kupanda kwa Dollar kunavyoongeza Deni la Taifa

Kupanda kwa Dollar kunavyoongeza Deni la Taifa

Kwahyo apo maana yake ni fedha yetu kushuka thamani au ongezeko la riba(interest rates) 🙄
 
Kibaya zaidi tunakopa dollar kununua na kuagiza vitu kama sukari na mafuta na michele, vitu ambavyo tungeweza kuzalisha asilimia mia na kuviuza nje vingine, akili za kimaskini sana
 
Mbona wanachanganya watu , si hao hoa walisema uchumi wetu imekua kulipo wa marekani how comes uchumi ukuwe zaidi ya marekani lakini hela yao iendelee kukuwa kulipo ya kwetu?
 
Ni kweli but na Sisi hatuko serious...tulipaswa kupunguza matumizi ya dollars pia ndani...
Kwa kiasi kikubwa hizo dollar hutumika kwa shughuli za maendeleo hasa kwa contractors toka nje!! So hatuna namna ya kukwepa!! Nachompongeza Samia amejitahidi sana kuvutia foreign investment na international trade inakua kwa kasi sana kiasi tuna dollar reserve kubwa sana in history!
 
Dola inapanda , shilingi inashuka, kiujumla uchumi wetu nao unapanda zaid ya Marekani na Ulaya, politics
 
Back
Top Bottom