Pilimi
Member
- Mar 23, 2009
- 67
- 14
Wana JF,naomba kuuliza kati ya SUMATRA na UDA nani anasimamia sheria za usafiri nchi hii? Maana ni matamko mengi sana yaetolewa na SUMATRA kuhusu kupaka rangi za route zao katika hizo UDA lakini hadi leo hakuna kitu.Cha ajabu zaidi leo nimepanda UDA kutoka Gongo la Mboto-Ubungo konda anatoa tiketi hazijaandikwa wala bei hata route hakuna.Wakati huo huo trafiki wengi njia yote.hawafanywi chochote.Sasa SUMATRA wameshindwa kwa huyo UDA?
Na attach tiketi.
Na attach tiketi.