Kuota ni hatari kuliko kuua?

Kuota ni hatari kuliko kuua?

Ukiota ndoto Tanzania na kuielezea ni kosa la kipekee maana utafumgwa nje ya sheria kwa kutumia vifungu vya kubuni
 
Labda yule mzee marehemu aliyekuwa anapiga ramli ya kusoma nyota mzimu wake umefufuka kwa Lema. Alisema watu wengekufa wakichukua fomu akafa yeye, Lema aangalie sana hayo maono yake.
 
Back
Top Bottom