Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 33,880
- 32,653
Lugha ya punguani hii.Wewe siwezi kukulaumu sana utakuwa na utapiamlo wa akili
Lugha ya punguani hii.Wewe siwezi kukulaumu sana utakuwa na utapiamlo wa akili
Endelea kusubiri.tunasubiri maono yatimie...
Upuuzi mtupu....Matendo ya watawala yanaonyesha wazi jinsi walivyofika ukomo wa kufikiri,na jinsi ambavyo Taifa halina mwelekeo!
Mwenzio Mbowe anainjoi Bombadier huko angani wewe umekalia mambo ya kipuuzi tu. Shauri yako.Lete ambao siyo upupu...

Kuna vitu vinatia hasira sana, wanashindana na maono
Lugha ya punguani hii.
Endelea kusubiri.
Endelea kusubiri.
Wewe hopeless kabisaUpuuzi mtupu.
Mwenzio Mbowe anainjoi Bombadier huko angani wewe umekalia mambo ya kipuuzi tu. Shauri yako.
Mbowe anafurahia Bombadier huko angani wewe umekalia kusema hopeless kabisa, ha ha ha. Lofa mkubwa wewe.Wewe hopeless kabisa
Acha maono yaongeeKuna vitu vinatia hasira sana, wanashindana na maono

Si unamuona Lema anavyoshindwa?Acha washindane na Mungu tuone kama watashnda
mkuu liverpoolFC, tupo pamoko kwenye chama, mm mwenye liverpool kindakindakiKwa ukweli tuombe uzima tu 2020 siyo mbali hakika!!!