Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
Waliouwa tunaruhusiwa kuwaona magereza lakini aliyetoa maono/ ndoto siyo mahakamani wala magereza tunazuiwa kumsalimia wala kwenda kusikiliza kesi yake... Hii serikali ya Mungu inataka kuwaaminisha watanzania kuwa kuota ni hatari kuliko kuua....
Kwanini nasema hivyo juzi vijana wengi walikamatwa kisa wanaenda kusikiliza kesi ya Lema alieota kuwa asiyetajwa akiendelea kujifanya mungu atakufa kabla ya 2020, leo tena wafuasi waliofika magereza kwa nia ya kumjulia hali mbunge wao wamezuiwa lakini wakati tunazuiwa kuna jamaa walikuwa wanaenda kumsalimia ndugu yao mwenye kesi ya kuua wakaruhusiwa nikajiuliza sijapata jibu..watanzania naomba msaada wa swali hapo juu....
***Ukiwa upinzani huruhusiwi kuota na ukiota ni jela hakuna cha mdhamana***
Kwanini nasema hivyo juzi vijana wengi walikamatwa kisa wanaenda kusikiliza kesi ya Lema alieota kuwa asiyetajwa akiendelea kujifanya mungu atakufa kabla ya 2020, leo tena wafuasi waliofika magereza kwa nia ya kumjulia hali mbunge wao wamezuiwa lakini wakati tunazuiwa kuna jamaa walikuwa wanaenda kumsalimia ndugu yao mwenye kesi ya kuua wakaruhusiwa nikajiuliza sijapata jibu..watanzania naomba msaada wa swali hapo juu....
***Ukiwa upinzani huruhusiwi kuota na ukiota ni jela hakuna cha mdhamana***