harakat
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 2,888
- 1,347
Tanzania imeongeza mikoa mipya minne kwenye orodha ya mikoa yake ambayo ni
Simiyu,Geita,Katavi na Njombe.Kuongezwa kwa mikoa hii inamaana kuwa hapa pataitajika
mkuu wa mkoaa ,gari yake ,walinzi ,ofisi na vitu vingine Tija yao iko wapi?
Mi ninafikiri kwamba serikali ingefikiria kupunguza matumizi yake badala ya kuongeza kupitia
mambo kama haya...
Simiyu,Geita,Katavi na Njombe.Kuongezwa kwa mikoa hii inamaana kuwa hapa pataitajika
mkuu wa mkoaa ,gari yake ,walinzi ,ofisi na vitu vingine Tija yao iko wapi?
Mi ninafikiri kwamba serikali ingefikiria kupunguza matumizi yake badala ya kuongeza kupitia
mambo kama haya...