Kuondoka kwa Mbunge wa Monduli CHADEMA ni dalili ya Lowassa kuachana na siasa?

Wote hawa Lowasa na Mbowe si wa tu wa kuaminika tena.

Hivyo Monduli linarudi CCM

Na huko Hai kumepata DC mpya basi azima Mbowe ajitafakari.

Lengai Ole Sabaya amepelekwa Hai kwa kazi maalum, na mojawapo ni kuzungumza lugha moja na wakzzi wa Hai ili wamwelewe uzuri, maana ni wabishi kwelikweli.

Kikwete na Mkapa ni masterminds nyuma ya yote haya.
 
Last edited:
Kosa la chadema ni kumkana Dr. slaa na kumreplace na lowasa....pale ndipo walibugi......

Walikuwa na kila advantage ya kushinda huu uchaguzi kama wangemuacha slaa asimame kama rais.....


Lipumba ambaye alikuwa mwanachama wa chama cha pili kwa ushawishi yaani Cuf alikuwa ameshauza kambi na wanacuf walikuwa bega kwa bega na chadema kuwasapoti....ndio maana walifanikiwa sana katika udiwani, serikali za mitaa na ubunge kidogo.....

Ila sasa wakashindwa kuplay smart kwa hiyo golden chance.....wakauza nafasi ya ushindi na kurudisha mpira kwa timu ya kijani.

So sidhani kama hiyo 2020 hata wamsimamishe nani kama watakuwa na influence tena.....ndio basi tena......


Kiukweli watazamie tu 2025 maana huko at least wanaweza kuweka mambo sawa.
 
Wewe akili yako imeshikwa na tahila Lisu, pole sana. Watu wanasema dalili ya mvua ni mawingu, kinachotokea chadema ni mwanzo tu, mengi yanakuja. Utapata tabu sana
Siku akiondoka Lissu kwenda CCM ndivyo nami nitakapo kaa pembeni na Siasa.

Ila nyie wengine mwende tu.
 
Jiwe ndiye Strongman aliyebaki hivi sasa anayeangamiza upinzani na wapinzani.

Na Sio Udhaifu wa CDM bali ni Nguvu ya Serikali na vyombo vyake. Imeonekana kua Afya ya CCM n Serikali yake inategemea zaidi uwepo wa CDM dhaifu na upinzani dhaifu

Manake hata uko CuF hali ni hiyohiyo. Huwezi sema kuna ombwe la Lipumba.

Wabunge wa upinzani wanajisalimisha tu. Kwasababu hakuna namna; hata Maendeleo huwezi kupeleka tena ukiwa Upinzani.
Na watendaji wa Serikali wanasema haya waziwazi kwenye mikutano hawafichi. Ilani inayotekelezwa ni ya CCM TU.
-hehehe kwani ilani ipi tena ungependa itekelezwe...labda kwa ushauri tuu
 
Kosa la chadema ni kumkana Dr. slaa na kumreplace na lowasa....pale ndipo walibugi......

Walikuwa na kila advantage ya kushinda huu uchaguzi kama wangemuacha slaa asimame kama rais.....


Lipumba ambaye alikuwa mwanachama wa chama cha pili kwa ushawishi yaani Cuf alikuwa ameshauza kambi na wanacuf walikuwa bega kwa bega na chadema kuwasapoti....ndio maana walifanikiwa sana katika udiwani, serikali za mitaa na ubunge kidogo.....

Ila sasa wakashindwa kuplay smart kwa hiyo golden chance.....wakauza nafasi ya ushindi na kurudisha mpira kwa timu ya kijani.

So sidhani kama hiyo 2020 hata wamsimamishe nani kama watakuwa na influence tena.....ndio basi tena......


Kiukweli watazamie tu 2025 maana huko at least wanaweza kuweka mambo sawa.
Labda Lissu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom