jogoo_dume
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 2,204
- 1,939
Masuala ya asset na liability wewe uliyaelewaje? Ni wazi hukuelewa Dr. Slaa alimaanisha nini.Umeandika vizuri.
Ila Hapo mwisho ulipomuweka Dr. slaa umeharibu kila kitu. Masuala ya Asset na liability hayakua na maana hiyo.