GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
ha ha haa, namna hii lazima usahau machungu ya siasa.Hii TV ya asili wangezitangaza tu tukawa tunazinunua pale Mlimani City kwa bei nzuri tu maana importation cost na other charges hakuna.
Wajua haya ma-samsung yao na LG wanatugonga sana bei.