ni imani tu, mie niliwai kuibiwa, cha kwanza nilienda polisi kutowa ripoti na siku ya pili yake nikaelekezwa kwa mzee mmoja magomeni mapipa, akaniuliza siku ngapi zimepita toka uibiwe, nikamwambia ni jana tu, akasema vitu vyako utavipata, ajanipa dawa wala nini,siku ya iliyofuata polisi wananipigia simu kwamba mwizi ameenda polisi kujisalimisha na vitu vyangu vyote. sasa sijui mkwala wa huyo dingi ama nini,
yapili niliwai kuibiwa spea dukani kwangu, mwizi aliiba turbo, nikasema ngoja niende tena kwa huyo mdingi, kilichofuata siku ya pili tumeikuta turbo imewekwa nje ya duka, mdingi ajanipa dawa yoyote ninywe wala chochote sijui nifanye nini.
magomeni maeneo gani?
Wafanye na ving'amuzi asili tungepiga jicho nundu la maana supersport!kama Mimi vileee.
Tena mwizi wa pili wanmuona na hawamfanyi chochote!
He he he eheeee, pole sana, bila huruma mkaibiwa tena! ama kweli safari moja huanzisha nyingine.
Kwa kweli sikupi pole, hata nikisema uliibiwa mara ya pili nitakose, hii uliamua kuchangia unga wa mganga...
Jamani mimi ni muhanga wa kuibiwa kwa kweli ni karibu mwaka sasa umepita kuna mwizi alivunja gari na kuondoka na vitu muhimu sana sasa kila mahali na kila ninayemuhadithia anasema ni kwamba ni mchoro uliochorwa na mtu aliye karibu na mimi sasa bila kuzunguka maneno nasiikia kuna waganga wana tv ya asili ambayo inaonyesha tukio zima lilivyofanyika naomba mtu anejua sehemu nzuri ya kupata huduma hii na yenye uhakika anijuze na pia kama kuna madhara ya kuangalia iyo tv niambie najua humu kuna watu washa experience kuibiwa vitu muhimu
King'asti wee! hapo chacha
kama unakata hile barabara ya kondoa ukitokea wilayani, nyumba ya mwanzo kulia kona, ina duka la mafriji, anaitwa bwaoja, wengine wanaoamini wanasema ata kama ndugu yako chizi hapo mwisho, kama nilivyosema ni imani isije ikawa haikuwa ukaniambia nimekuingiza siko
Mkuu seki6 Waganga ambao wanao uwezo wa kukufanyia dawa ukamuona huyo mwizi wako. Mimi ninauliza swali unijibu wewe Je ukionyeshwa huyo Mwizi aliyekuibia je utaweza kuvumilia?au ndio tena vurugu mechi kupigana mapanga na kuuwana sababu ni ya kuonyeshwa kwa huyo mwizi wako? ukiweza Sema................Jamani mimi ni muhanga wa kuibiwa kwa kweli ni karibu mwaka sasa umepita kuna mwizi alivunja gari na kuondoka na vitu muhimu sana sasa kila mahali na kila ninayemuhadithia anasema ni kwamba ni mchoro uliochorwa na mtu aliye karibu na mimi sasa bila kuzunguka maneno nasiikia kuna waganga wana tv ya asili ambayo inaonyesha tukio zima lilivyofanyika naomba mtu anejua sehemu nzuri ya kupata huduma hii na yenye uhakika anijuze na pia kama kuna madhara ya kuangalia iyo tv niambie najua humu kuna watu washa experience kuibiwa vitu muhimu
Mkuu Billie Elimu ya kumuona Mwizi aliyekuibia au Mwizi kumvimbisha tumbo mpaka arudishe kitu alichokuibia ipo ila huyu mkuu seki6 amechelewa sana amekaa mwaka mzima kisha ndio analeta hapa malalmiko yake?Elimu ya kuwaona Wachawi Mtu aliye kuroga pia ipo hiyo ni TV asilia.MziziMkavu njoo utoe ufafanuzi ulioshiba kwenye hili jambo plz!
ni imani tu, mie niliwai kuibiwa, cha kwanza nilienda polisi kutowa ripoti na siku ya pili yake nikaelekezwa kwa mzee mmoja magomeni mapipa, akaniuliza siku ngapi zimepita toka uibiwe, nikamwambia ni jana tu, akasema vitu vyako utavipata, ajanipa dawa wala nini,siku ya iliyofuata polisi wananipigia simu kwamba mwizi ameenda polisi kujisalimisha na vitu vyangu vyote. sasa sijui mkwala wa huyo dingi ama nini,
yapili niliwai kuibiwa spea dukani kwangu, mwizi aliiba turbo, nikasema ngoja niende tena kwa huyo mdingi, kilichofuata siku ya pili tumeikuta turbo imewekwa nje ya duka, mdingi ajanipa dawa yoyote ninywe wala chochote sijui nifanye nini.
Wafanye na ving'amuzi asili tungepiga jicho nundu la maana supersport!
mkuu seki6 waganga ambao wanao uwezo wa kukufanyia dawa ukamuona huyo mwizi wako. Mimi ninauliza swali unijibu wewe je ukionyeshwa huyo mwizi aliyekuibia je utaweza kuvumilia?au ndio tena vurugu mechi kupigana mapanga na kuuwana sababu ni ya kuonyeshwa kwa huyo mwizi wako? Ukiweza sema................
Mkuu billie elimu ya kumuona mwizi aliyekuibia au mwizi kumvimbisha tumbo mpaka arudishe kitu alichokuibia ipo ila huyu mkuu seki6 amechelewa sana amekaa mwaka mzima kisha ndio analeta hapa malalmiko yake?elimu ya kuwaona wachawi mtu aliye kuroga pia ipo hiyo ni tv asilia.