mangi waukweli
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 246
- 27
Jamani mimi ni muhanga wa kuibiwa kwa kweli ni karibu mwaka sasa umepita kuna mwizi alivunja gari na kuondoka na vitu muhimu sana sasa kila mahali na kila ninayemuhadithia anasema ni kwamba ni mchoro uliochorwa na mtu aliye karibu na mimi sasa bila kuzunguka maneno nasiikia kuna waganga wana tv ya asili ambayo inaonyesha tukio zima lilivyofanyika naomba mtu anejua sehemu nzuri ya kupata huduma hii na yenye uhakika anijuze na pia kama kuna madhara ya kuangalia iyo tv niambie najua humu kuna watu washa experience kuibiwa vitu muhimu