juakal
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 587
- 125
Wakuu nani amefanikiwa kuomba kazi online TRA?
Mimi niliomba mara ya kwanza nikapewa code ya kuwa natumia. Leo nimeenda kuaply kazi nyingine, nikiweka ile code inafunguka lakini nikichagua ile sehemu ya Vacancy List "inanambia kwamba the job you applied using this code is closed" na hapo inakuwa haileti kitu kingine zaidi.
Kwahiyo nimeshindwa kuaply wakuu.
Kama kuna aliyefanikiwa msaada wake wa maelekezo ni muhimu sana na natanguliza shukrani.
Mimi niliomba mara ya kwanza nikapewa code ya kuwa natumia. Leo nimeenda kuaply kazi nyingine, nikiweka ile code inafunguka lakini nikichagua ile sehemu ya Vacancy List "inanambia kwamba the job you applied using this code is closed" na hapo inakuwa haileti kitu kingine zaidi.
Kwahiyo nimeshindwa kuaply wakuu.
Kama kuna aliyefanikiwa msaada wake wa maelekezo ni muhimu sana na natanguliza shukrani.