Kuomba hela mwanaume/mpenzi

Kuomba hela mwanaume/mpenzi

mrs fiance

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2016
Posts
350
Reaction score
163
Yani mm sijui niko vipi ,sijuagi Kabisa kumuomba hela mwanaume, akinipa mwenyewe sawa,Ninaweza nikasema ngoja Leo nimuombe hela mwanaume lakini nikianza kuandika SMS tu nafuta na achan na hiyo ishu.japo siwezi omba face to face.sijui na kwa wenzangu ni hivyo?
 
Na hawaombi hela tu!

Wanaomba hadi cologne, kofia, raba mtoni, mabegi ya mgongoni, Beats by Dre, n.k.

Hata kama hawakujui watakuomba tu...watajibebisha hadi wapate kaupenyo ka kukuomba!

Shameful and disgraceful.
Kumbeeeeee
 
Kwanini hudai Kodi????

Mtoa mada upo single?? Nimekupenda bure.
 
Kwanini hudai Kodi????

Mtoa mada upo single?? Nimekupenda bure.
Sionagi sababu ya kuomba,ilihali Kama MTU anakupenda atakuhudumia tu.,Bahati mbaya nipo In relationship,
 
Yani mm sijui niko vipi ,sijuagi Kabisa kumuomba hela mwanaume, akinipa mwenyewe sawa,Ninaweza nikasema ngoja Leo nimuombe hela mwanaume lakini nikianza kuandika SMS tu nafuta na achan na hiyo ishu.japo siwezi omba face to face.sijui na kwa wenzangu ni hivyo?
Mi nawe mapacha
 
Day one tu ushakuwa bebi, hata b4 u bkum one, ataanza unajua kifursuhi changu kinakaribia kuisha, naomba niunge beeebi, mara hivi, ukikubali tu.. kwishney. Sasa bebi kuna mzigo nimeagiza afu nanii alisema atantumia hela kesho, so naomba afu hamsini nilipie then ntakurefund kesho..nyoooo! Nshafanya tafiti nyingi sana kuhusu hawa nikikuonyesha matokeo utakimbiaga tu weye...
Hawana haya, afu wakavu, mbaya Zaidi ni wepesi wa kudhani kila mtu ni rahisi tu, akikubeep ukaitika kwa moja, yanaanza kumiminika kibao. Afu wote staili za kufanana, unajua bebi kwa kweli mimi huwa cjisikii kumwomba mwenzangu, yaani akiona sawa atanipatia tu..swali: kwani lazima mimi nikupatie?? wewe huwezi nipatia? this way... ikfika hapo hata huitaji kusema sana, unabeba unavyotaka... no compromise. Afuwengine wasooomi wadhuri tu, but kipengele hiyo taaluma yao ya kufikiri huwa haiwork...duh!
napita lakini...
 
Day one tu ushakuwa bebi, hata b4 u bkum one, ataanza unajua kifursuhi changu kinakaribia kuisha, naomba niunge beeebi, mara hivi, ukikubali tu.. kwishney. Sasa bebi kuna mzigo nimeagiza afu nanii alisema atantumia hela kesho, so naomba afu hamsini nilipie then ntakurefund kesho..nyoooo! Nshafanya tafiti nyingi sana kuhusu hawa nikikuonyesha matokeo utakimbiaga tu weye...
Hawana haya, afu wakavu, mbaya Zaidi ni wepesi wa kudhani kila mtu ni rahisi tu, akikubeep ukaitika kwa moja, yanaanza kumiminika kibao. Afu wote staili za kufanana, unajua bebi kwa kweli mimi huwa cjisikii kumwomba mwenzangu, yaani akiona sawa atanipatia tu..swali: kwani lazima mimi nikupatie?? wewe huwezi nipatia? this way... ikfika hapo hata huitaji kusema sana, unabeba unavyotaka... no compromise. Afuwengine wasooomi wadhuri tu, but kipengele hiyo taaluma yao ya kufikiri huwa haiwork...duh!
napita lakini...
yalikukuyaga nn.maana umeyamimina
 
Back
Top Bottom