Day one tu ushakuwa bebi, hata b4 u bkum one, ataanza unajua kifursuhi changu kinakaribia kuisha, naomba niunge beeebi, mara hivi, ukikubali tu.. kwishney. Sasa bebi kuna mzigo nimeagiza afu nanii alisema atantumia hela kesho, so naomba afu hamsini nilipie then ntakurefund kesho..nyoooo! Nshafanya tafiti nyingi sana kuhusu hawa nikikuonyesha matokeo utakimbiaga tu weye...
Hawana haya, afu wakavu, mbaya Zaidi ni wepesi wa kudhani kila mtu ni rahisi tu, akikubeep ukaitika kwa moja, yanaanza kumiminika kibao. Afu wote staili za kufanana, unajua bebi kwa kweli mimi huwa cjisikii kumwomba mwenzangu, yaani akiona sawa atanipatia tu..swali: kwani lazima mimi nikupatie?? wewe huwezi nipatia? this way... ikfika hapo hata huitaji kusema sana, unabeba unavyotaka... no compromise. Afuwengine wasooomi wadhuri tu, but kipengele hiyo taaluma yao ya kufikiri huwa haiwork...duh!
napita lakini...